Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Tatizo utakuwa ushakufa mkuuMnakuaga wapi mpaka Mali zenu zitumie majina ya Mwanamke.??
MKE SIO NDUGU YAKO, NDUGU YAKO NI WATOTO.
UNAWEZA KUFA HAPA LEO ..BAADA YA MATANGA MKEO AKAOLEWA UPYAAAA NA AKAONDOKA NA KILA KITU .
Ukweli ni Kwamba, Mwanamke anatakiwa afanywe kua Mtegemezi yaan kuanzia kula yake, kuvaa kwake, Kupendeza kwake, Kila kitu chake kikutegemee wewe na nenda mbali zaidi HAKIKISHA HATA HISIA ZAKE ZINAKUTEGEMEA WEWE KAMA CHANJO CHA FURAHA YAKE NA HUZUNI ZAKE.
Sasa weee Umekutana na Mtanga, mpaka Kila kitu jina la mwanaume, ndo hayo Sasa ona !!.
HATA IVO LAZIMA, UAPE, MIMI BINFASI, HAITOKAA KUTOKEA, MTU ADHULUMU HAKI ZANGU, AWE MWANAMKE, AWE MWANAUME.
TENA HIZI SIJUI, MAUJINGA YA SHERIA ,ET SIJUI JINA LAKE , JINA LAKE WHAT,?? NDO UACHE MALI ULIZOPAMBANA ZIENDE KIRAHISI RAHISI KISA SHERIA !??
KUDHULUM NI KUDHULUM, IWE KWA NJIA ZA KISHERIA AU LAH, KUDHURUMU NI DHURUMA TU NA DHURUMA HULETA KIFO.
UKIDHULUMU, UWE TAYARI KUFA..
Ukimpata huyo mganga ujiloge au ujilogoe kwanza wewe mwenyewe...!!!!Habari
Habari
Haba tena na tena ndugu yangu kijana wenu nimekuja kwa inyenyekevu sana ndugu yenu
Kwa ufupi ndugu yenu ninaomba msaada na nina matumaini nitafanikiwa kwa maana hapa JF kuna maguli wa kila namna ya wamejaaa tele.
Kujana mwezenu nimezulumiwa haki yangu
HISTORIA FUPI
Mwaka 2013 nilioa mwanamke wa Ki Tanga
Nilibahatika kupata mtoto mmoja na uyo binti
Mwaka 2015 nilibahatika kujenga nyumba
Mwaka 2017 nilibahatika kununua gari lenye dhamani ya ML 9
Wakati hayo yote nikiyafanya nilikuwa na mke wangu mpendwa tena alikuwa ananipenda kupitiliza
Mwaka 2018 niligundua mke wangu ana mahusiano na kijana wangu wa DUKANI
Kiukweli iliniuma sana sana baada ya hushauri wa wa mrafiki nikaamua nimuache hapo ndipi sheria ilipo chukua nafasi
Ila sheria ilinisaliti na ndipi maisha yangu yakabadilika kabisaaa wakati nanunua kiwanja gari vyote niliandika kwa jina lake
Na sasa mwanamke amebadilika na kusema vyote ni vyake na sheria imemuamini kwa maana majina yote ya kwenye hati ni majina yake
Kiukweli inaniuma sana kwa sasa sina hata pesa ya kuendeleza kesi
SASA BASI NAOMBA MSAHADA WA NGUVU KWA MWENYE UWEZO
NATAFUTA MGANGA TENA MGANGA WA KWELI AMBAE ANAUWEZO WA HALI YA JUU NIWEZE KUTETA NAE KWA MAANA MWENZANGU YEYE ANATEMBEA KWA WAGANGA KILA SIKU
NAOMBA YOYOTE ANAE TAKA KUNISAIDIA AJE INBOX NAITAJI MGANGA NAITAJI MNGANGA
NISAIDIENI NDUNGU ZANGU.
Nilimpenda kumbe yeye alikua na tageti zakeUkimpata huyo mganga ujiloge au ujilogoe kwanza wewe mwenyewe...!!!!
Kwanini uliandika majina yake kwenye mali zako?
Au alikupa mauno sana, ukabweteka?
Basi hizo ni mali zake mbele ya sheria, maana kuna kitu alikufanyia mpaka roho yako ikaridhia ukamwandika yeye.
Au uliwekewa mtutu wa bunduki?
Mahaba ya kitanga yamempagawisha mpaka akajitoa ufahamuPole mzee inakuwaje unanunua viwanja unaandika majina ya mkeo ambae mmekutana ukubwani
Habari
Habari
Haba tena na tena ndugu yangu kijana wenu nimekuja kwa inyenyekevu sana ndugu yenu
Kwa ufupi ndugu yenu ninaomba msaada na nina matumaini nitafanikiwa kwa maana hapa JF kuna maguli wa kila namna ya wamejaaa tele.
Kujana mwezenu nimezulumiwa haki yangu
HISTORIA FUPI
Mwaka 2013 nilioa mwanamke wa Ki Tanga
Nilibahatika kupata mtoto mmoja na uyo binti
Mwaka 2015 nilibahatika kujenga nyumba
Mwaka 2017 nilibahatika kununua gari lenye dhamani ya ML 9
Wakati hayo yote nikiyafanya nilikuwa na mke wangu mpendwa tena alikuwa ananipenda kupitiliza
Mwaka 2018 niligundua mke wangu ana mahusiano na kijana wangu wa DUKANI
Kiukweli iliniuma sana sana baada ya hushauri wa wa mrafiki nikaamua nimuache hapo ndipi sheria ilipo chukua nafasi
Ila sheria ilinisaliti na ndipi maisha yangu yakabadilika kabisaaa wakati nanunua kiwanja gari vyote niliandika kwa jina lake
Na sasa mwanamke amebadilika na kusema vyote ni vyake na sheria imemuamini kwa maana majina yote ya kwenye hati ni majina yake
Kiukweli inaniuma sana kwa sasa sina hata pesa ya kuendeleza kesi
SASA BASI NAOMBA MSAHADA WA NGUVU KWA MWENYE UWEZO
NATAFUTA MGANGA TENA MGANGA WA KWELI AMBAE ANAUWEZO WA HALI YA JUU NIWEZE KUTETA NAE KWA MAANA MWENZANGU YEYE ANATEMBEA KWA WAGANGA KILA SIKU
NAOMBA YOYOTE ANAE TAKA KUNISAIDIA AJE INBOX NAITAJI MGANGA NAITAJI MNGANGA
NISAIDIENI NDUNGU ZANGU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwisha kabisa.
Wewe unaweka kichwa cha uzi kuwa tutafute hela afu kumbe wewe umezitafuta afu ukamkabidhi mwanamke [emoji1787][emoji1787].
Afu unategemea tutashawishika kuzitafuta akati umekuja na kulia hapa.
Asee we ni fala sana mkuu 🤣🤣🤣🤣.Habari
Habari
Hapa tena na tena ndugu yangu kijana wenu nimekuja kwa unyenyekevu sana ndugu yenu.
Kwa ufupi ndugu yenu ninaomba msaada na nina matumaini nitafanikiwa kwa maana hapa JF kuna manguli wa kila namna ya wamejaaa tele.
Kijana mwenzenu nimezulumiwa haki yangu.
HISTORIA FUPI
Mwaka 2013 nilioa mwanamke wa Kitanga, nilibahatika kupata mtoto mmoja na uyo binti, mwaka 2015 nilibahatika kujenga nyumba.
Mwaka 2017 nilibahatika kununua gari lenye dhamani ya ML 9, wakati hayo yote nikiyafanya nilikuwa na mke wangu mpendwa tena alikuwa ananipenda kupitiliza
Mwaka 2018 niligundua mke wangu ana mahusiano na kijana wangu wa dukani, kiukweli iliniuma sana sana baada ya ushauri wa marafiki nikaamua nimuache hapo ndipo sheria ilipo chukua nafasi.
Ila sheria ilinisaliti na ndipo maisha yangu yakabadilika kabisa wakati nanunua kiwanja gari vyote niliandika kwa jina lake.
Na sasa mwanamke amebadilika na kusema vyote ni vyake na sheria imemuamini kwa maana majina yote ya kwenye hati ni majina yake.
Kiukweli inaniuma sana kwa sasa sina hata pesa ya kuendeleza kesi.
SASA BASI NAOMBA MSAADA WA NGUVU KWA MWENYE UWEZO
NATAFUTA MGANGA TENA MGANGA WA KWELI AMBAE ANAUWEZO WA HALI YA JUU NIWEZE KUTETA NAE KWA MAANA MWENZANGU YEYE ANATEMBEA KWA WAGANGA KILA SIKU
NAOMBA YOYOTE ANAE TAKA KUNISAIDIA AJE INBOX NAITAJI MGANGA NAITAJI MNGANGA
NISAIDIENI NDUNGU ZANGU.
Hahaha nimecheka sanaHuyu bwege nn[emoji16][emoji16]