Tafuta pesa, hakuna mwanamke wa mtu

Nakuonya

Achana mke wa mtu, tena Kaa mbali pesa zako isiwe fimbo ya kuwaumiza wengine.
 
Tatizo utakuwa ushakufa mkuu
 
Ukimpata huyo mganga ujiloge au ujilogoe kwanza wewe mwenyewe...!!!!

Kwanini uliandika majina yake kwenye mali zako?

Au alikupa mauno sana, ukabweteka?

Basi hizo ni mali zake mbele ya sheria, maana kuna kitu alikufanyia mpaka roho yako ikaridhia ukamwandika yeye.

Au uliwekewa mtutu wa bunduki?
 
Etiiii Taaaanga nyumba shoga nyumba mganga
Sasa twende utakuta nyumba shoka nyumba Panga
Huku hassan mwakinyo huku January Makamba
 
Nilimpenda kumbe yeye alikua na tageti zake
 
Maana ya Ndoa:– kuishi pamoja na kulala pamoja na adui yako kitanda kimoja kuna watu wamevurugwa.
 

Unatumalizia Oksijeni, ikimpendeza Mola akuchukue mjinga mmoja wewe hatutapata hasara yoyote
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kwisha kabisa.

Mwambie...
Halafu tukiwaambia Msioeeee huwa hawataki kusikia.

#YNWA
 
Wewe unaweka kichwa cha uzi kuwa tutafute hela afu kumbe wewe umezitafuta afu ukamkabidhi mwanamke [emoji1787][emoji1787].
Afu unategemea tutashawishika kuzitafuta akati umekuja na kulia hapa.

Huyu bwege nn[emoji16][emoji16]
 
Mayday mayday one idiot is down I repeat one idiot is down no need for backup
over
 
Asee we ni fala sana mkuu 🤣🤣🤣🤣.

Note mwanamke usimuendelezeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…