TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
- #21
kweLi huko ni kubip utajiri😂😂😂😂😂siku moja moja unaubip utajiri.
UNAINGIA yard unaulizia Bei za magari..
Sio kila siku unaulizia Bei za mapapai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweLi huko ni kubip utajiri😂😂😂😂😂siku moja moja unaubip utajiri.
UNAINGIA yard unaulizia Bei za magari..
Sio kila siku unaulizia Bei za mapapai
ukizishika utathibitishaPesa ndio kila kitu baba inanunua hivyo vyote
Pesa ndio ufunguo malaya ,unafungua kila tatizo la dunia hii.Pesa ni nyundo matatizo ndio msumali ukiipata unagongelea tu mambo yanaenda😂😂😂😂😂ukizishika utathibitisha
Hata robo haujafikaIla ushakamilika
Kuna sehem nimejifanansha na mkeo? Au huyo mkeo anaweza kufanana na mie? Plz huyo mkeo akaanze upya hanikuti kwa lolote lile.Jiweke wazi wewe ni SHOGA sio ujifananishe na wakezetu.
kweLi huko ni kubip utajiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pesa hainunui furaha, marafiki wa kweli, usingizi quality, afya na uhaiPesa ndio ufunguo malaya ,unafungua kila tatizo la dunia hii.Pesa ni nyundo matatizo ndio msumali ukiipata unagongelea tu mambo yanaenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
struggle is the duty of man, so struggle hard and get what you need don't give upHabari wadau!
Maisha sio fair, watu pia hawapo fair.
Inabidi kutafuta pesa mpaka akifa mbwa wako watu wakupe salamu za pole na kukutumia rambirambi.
Leo hii kuna watu walipata ajari kwenye gari moja au ndege moja na watu maarufu lakini vifo vyao havikutangazwa.
Mwaka 2020 unaisha na mimi nakubali hakuna nililofanya zaidi ya ku comment R.I.P kwenye post za matajiri waliokufa kama R.Mengi, Ruge, Patel n.k.
Lakini 2021 naahidi kupambana mpaka siku mbwa wangu akifa nitumiwe salamu za pole.
Uzi teyari
😂😂😂😂😂😂
Hacha ujinga ww pesa hainunui usingizi nani kasema???inamaana anayelala lodge ya buku 5 full kunguni pale Mwandiga Guest House na anayelala Hotel ya nyota tano wanafanana usingizi???🤔🤔🤔🤔Pesa hainunui furaha, marafiki wa kweli, usingizi quality, afya na uhai
Naona unafanyia mazoezi elimu uliyofuzu kwenye skuli ya matusi. Najua hujafikiria japo zaidi kidogo kabla ya kuandika maoni yako. Don't be so naive.Hacha ujinga ww pesa hainunui usingizi nani kasema???inamaana anayelala lodge ya buku 5 full kunguni pale Mwandiga Guest House na anayelala Hotel ya nyota tano wanafanana usingizi???[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Naona unafanyia mazoezi elimu uliyofuzu kwenye skuli ya matusi. Najua hujafikiria japo zaidi kidogo kabla ya kuandika maoni yako. Don't be so naivei
Najua ujumbe umekufikia vema; si lazima utukane ili kujenga hoja yako. Unaweza kuzungumza kistaarabu na ukaeleweka sana tu.Mjinga ni tusi katika kamusi ipi???
Pata kwanza pesa ndio uongee kauli kama hizi.Pesa sio kila kituu
hata kama pesa itanunua vyote hivyo itakua ni fake hakuna ureallity hapo utapewa kwasababu ya pesaa na ukishiwaa na heshima yako inashukaa.Live really life dont fake life
Huyo analeta kauli za waliokata tamaa kupambana😂😂😂Pata kwanza pesa ndio uongee kauli kama hizi.
Maana hizi ni kauli za kishujaa kwa masikini na wavivu
Eeh watu wapambane bhana..!Uzi wako nimeupenda.
Uzi wa kutiana moyo.
Pambana upate pesa, usikubali kukatishwa tamaa, maana miongoni mwetu kuna wanaojua kutafuta kazi za kuajiriwa tu, hawajui kutafuta pesa.
Nchi yetu ina fursa za kutosha lakini ni wachache wanaoziona.
Muweke kwenye 'ignored list', asikuzeeshe,Kuna sehem nimejifanansha na mkeo? Au huyo mkeo anaweza kufanana na mie? Plz huyo mkeo akaanze upya hanikuti kwa lolote lile.
Afu jushikilie wee m2, huyo mkeo hana status ya kufananishwa na mie, au unaona raha mkeo afanane ha mie? Poleeeeeh San usinishushe ki hivo msieeeeeeew
Babeeh ake,Muweke kwenye 'ignored list', asikuzeeshe,
Mi jobless ndivyo inavyokuaga.