Tafuteni Jina lingine KIBAMIA linakera mno.

Tafuteni Jina lingine KIBAMIA linakera mno.

Oky Ngoja tuite KiKonokono




[emoji23][emoji23]napita Kwa

. Maringo
 
Wakuu naomba niwashirikishe katika huu mjadala maana haka kajina Kamekua kakitumika kama silaha ya kutuathiri kisaikolojia Sisi wanaume.

Ukizinguana na demu tu kashakutangaza kwamba wewe ni kibamia. [emoji23] [emoji23]

Imefikia hatua Hadi mtu ukisikia hata kwenye wimbo vimetajwa mashine na kibamia mtu unaanza kujiuliza upo kundi gani. Na hapo ndio panapoboa zaidi maana walioanzisha hako kajina hawajatoa kipimo Kwamba Kuanzia hapa Hadi hapa ni kibamia na hapa ni mashine.kwaiyo maana yake ukiitwa kibamia au mashine na mwanamke ujue kakulinganisha na mshkaji wake mwingine[emoji17] .

Wanawake yenu tunayajua lakini Tunawasitiri, ebu tupumzisheni na hako kajina jamani. Au mnataka na Sisi tulete yenu mezani?

Nawasilisha.
edb4c026e0787cae282ac3c6c11e361a.jpg
 
Tunafundisha tuuu!
Msiwe wazinzi mpaka mnapewa majina!
Kama unae mmoja utajueje zingineee?
 
Wakuu naomba niwashirikishe katika huu mjadala maana haka kajina Kamekua kakitumika kama silaha ya kutuathiri kisaikolojia Sisi wanaume.

Ukizinguana na demu tu kashakutangaza kwamba wewe ni kibamia. [emoji23] [emoji23]

Imefikia hatua Hadi mtu ukisikia hata kwenye wimbo vimetajwa mashine na kibamia mtu unaanza kujiuliza upo kundi gani. Na hapo ndio panapoboa zaidi maana walioanzisha hako kajina hawajatoa kipimo Kwamba Kuanzia hapa Hadi hapa ni kibamia na hapa ni mashine.kwaiyo maana yake ukiitwa kibamia au mashine na mwanamke ujue kakulinganisha na mshkaji wake mwingine[emoji17] .

Wanawake yenu tunayajua lakini Tunawasitiri, ebu tupumzisheni na hako kajina jamani. Au mnataka na Sisi tulete yenu mezani?

Nawasilisha.
basi kiitwe KIMBOGA
 
Back
Top Bottom