Sawa, bora ukweli nimekwambia.Ni kweli bora usingenitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, bora ukweli nimekwambia.Ni kweli bora usingenitag
😀😀😀😀 emu tuache
Karibu sana ShadeeyaUsijali tuko pamoja mdogo wangu Amiin mingi mingi kwa dua zako mwaya.
Hahahaa!! Hao wa huko kwa PM kiukweli hawaepukiki kabisaa.
Aunt yangu Heaven Sent huwa ananikosha na magazeti mazito japo siku hizi napishanaga naye sana majukwaani na pia kayapunguza nadhani majukumu hayo. [emoji3]
😀 😀 😀 😀Hahahaaa. Kweli aisee kutokuandika nacho ni kipaji kikubwa kweli na hawa ndugu zangu wanacho.
Mi nikitaka nisiandike basi nisilogin nje ya hapo lazima tu ntaandika yaani.
Hahahaaaa. Hamna hauwezi kufukuliwa bana. 😀😀😀😀
Hakika.😀 😀 😀 😀
Ni kujitahidi kuwa na hekima tu maana unaweza ona kama watu hawakuoni vile ila siku kikinuka watahakikisha umeona rangi zote za kwenye upinde wa mvua, hakuna rangi utaacha kuona.
Andika hivi @ bila kuacha nafasi halaf andika jina la mlengwa
https://www.jamiiforums.com/members/weylyn.485392/
Hata mie nakukubali sanaaaaaaaaaaaaaaa
Asante Mkuuhttps://www.jamiiforums.com/members/weylyn.485392/
Hata mie nakukubali sana
Hata mie nakukubali sanaaaaaaaaaaaaaaa
I missed U Mak! Hujamboi?
Mzima kabisa RafikiI missed U Mak! Hujambo lakini?