Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Karibu sana Shadeeya
Tupo pamoja Dear..Much Love.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa. Kweli aisee kutokuandika nacho ni kipaji kikubwa kweli na hawa ndugu zangu wanacho.

Mi nikitaka nisiandike basi nisilogin nje ya hapo lazima tu ntaandika yaani.

Hahahaaaa. Hamna hauwezi kufukuliwa bana. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
Ni kujitahidi kuwa na hekima tu maana unaweza ona kama watu hawakuoni vile ila siku kikinuka watahakikisha umeona rangi zote za kwenye upinde wa mvua, hakuna rangi utaacha kuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…