Usijali Wakwetu..hivi kwenye hao 20+ namimi nimo? 🤔 Najiuliza tu hapaWakwetu wakisema tutaje kuanzia 20+ unitag tafadhali,
Ninao wengi sana jamani.!!
Hebu niacheSawa nielekeze kutag kiungwana. Kisha nifanye hivyo.
Kuna mtu awezaye acha kwao panaungua akaenda kuzima moto kwa jirani wakwetu.??Usijali Wakwetu..hivi kwenye hao 20+ namimi nimo? 🤔 Najiuliza tu hapa
Namkubali sana Khantwe sababu huyu mwanamke ni mpole, ana akili na pia sio hafatilii mtu.Hebu niache
Hakuna Wakwetu..😍Kuna mtu awezaye acha kwao panaungua akaenda kuzima moto kwa jirani wakwetu.??
Ni wewe tu na speed yako ya ku-type muhimu zingatia kuwaweka kwenye one commentWakwetu wakisema tutaje kuanzia 20+ unitag tafadhali,
Ninao wengi sana jamani.!!
Babe you're among my secret admirers ❤ dada mimi kichwa moto?!/😂😂😂Umesema wawili na tuzingatie gender balance?
Paula Paul huyu hana maneno mengi.
The Boss huyu pia hana maneno mengi.
Wakitengeneza Couple itakuwa matata.
Ila ninao wengine.
Kasie the platinum K haumkuti kwenye ugomvi na mtu.
Depal kanajitia kichwa moto lakini kana akili.
Shunie napenda msemo wake wa Yesu akutunze.
Sky Eclat hana maneno maneno.
Na wengine wengi.
Ahsante Smart... Ila huyu yna2 tumtafutie na vitenge ili kwenye ugomvi huko akose excuse za kuniacha peke angu.Depal much respect to you kabinti ka fulani...
Hata mimi nakukubali kinyama... na vile wanapenda kukuchokonoa kusudi jeshi la mtu mmoja... Ila yna2 msaliti kipindi cha jino kwa jino haonekani... anakua busy kutafuta khanga ya kujifunga zote hazimtoshi..
😀 😀 😀 Nimekua mtundu kuliko jamaa yake Kidawa... (John)...
True mambo yangu yasikuumize kichwa, niachiege mwenyewe...
Cc: mahondaw
Ahsante kwa tag BellaShukrani
Wawili 2..
Mkuu lawama hizi...
Ni wengi, na wanajijua hua nawatembezea likes sana,
Na wewe tunakutanaga tu huko kwa bahati bahati tu ....ila mwanzoni nilipata shida kujua jinsia yako. LolWawili 2..
Mkuu lawama hizi...
Ni wengi, na wanajijua hua nawatembezea likes sana,