Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Sambaza upendo na uwatag

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaps, Na kikubwa ninachoona mm..
Mtu usipende ligi zisizo na maana hasa za lugha chafu, mm mtu wa namna hio namheshimu sana.
Kua Social/charming.
Kutoa mafundisho, kufurahisha....
Kwa ufupi hakeri wala haboi.
Mtu km huyo ukimchukia Huo ni uchawi au wivu.
Na wewe tunakutanaga tu huko kwa bahati bahati tu ....ila mwanzoni nilipata shida kujua jinsia yako. Lol

Wewe sanaa tuu, najua ushanijua sasa.
 
Mkuu unaogopa kumtag. .This is chitchat bana jiachie ..

@Zoe bony
Nawakubali kinomanoma
Yaps, Na kikubwa ninachoona mm..
Mtu usipende ligi zisizo na maana hasa za lugha chafu, mm mtu wa namna hio namheshimu sana.
Kua Social/charming.
Kutoa mafundisho, kufurahisha....
Kwa ufupi hakeri wala haboi.
Mtu km huyo ukimchukia Huo ni uchawi au wivu.


Wewe sanaa tuu, najua ushanijua sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom