joefrancy
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 792
- 550
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi chukua shutout yangu[emoji16][emoji16][emoji16] muhuni tu huyo hana lolote
Yaps, Na kikubwa ninachoona mm..
Na wewe tunakutanaga tu huko kwa bahati bahati tu ....ila mwanzoni nilipata shida kujua jinsia yako. Lol
Yaps, Na kikubwa ninachoona mm..
Mtu usipende ligi zisizo na maana hasa za lugha chafu, mm mtu wa namna hio namheshimu sana.
Kua Social/charming.
Kutoa mafundisho, kufurahisha....
Kwa ufupi hakeri wala haboi.
Mtu km huyo ukimchukia Huo ni uchawi au wivu.
Wewe sanaa tuu, najua ushanijua sasa.
[emoji16][emoji16] ahsantebasi chukua shutout yangu
Hahaaa hapanaaa.
Like yako nimeiona ahsante Sana mpendwa..nakukubali ila Kuna wakati una uchizi fulani hivi...😂😂 Respect dude.Hahaaa hapanaaa.
Ndio maana mwanzo nikauliza "wawili tu?, hizi ni lawama" nikimaanisha ni wengi.
Ninachofanya nikutembeza likes..
😂😂😂😂😂SIJAWAHI kua serious HATA siku moja Lile jukwaa la Habari ma hoja mchanganyiko, hilo wengi wanalijua..Like yako nimeiona ahsante Sana mpendwa..nakukubali ila Kuna wakati una uchizi fulani hivi...😂😂 Respect dude.
miss zomboko
Na
beth
Nawaelewaga sana hawanaga ngwengwe na mtu. Wanakutandikua uzi hapo, then mtajuana wenyewe.
Na wana uandishi mzuri Sana..hauchoshi kusoma na wanaeleweka.Watakuwa ni waandishi wa habari.
Mimi muda wa kuandika uzi kwa kweli sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu Ni wengi mno..nikiandika hao wawili nitajisuta nafsi.