Hahaha
ππππUgumu autoe wapi... mgumu nyuma ya keyboard... Mgumu public... oops!!
Kumbe hapa ni jukwaani... ngoja mambo yake nimuachie mwenyewe...
Nisije nikamwaga kuku kwenye mchele mwingi...
Cc: mahondaw
Ngoja tuone
Naomba nikazie kwa Daktari wa menomiminimkulimaakachekasana - huyu jamaa hachekeshi ila kila nikiiona hii ID huwa nawaza aliwaza nini kujiita hivi.
Daktari wa Meno - nafikiri kwenye kitengo cha burudani ya comed humu JF sasa hivi huyu jamaa anaweza kuwa anaongoza kunifurahisha.
Hizi thread zinasababisha sonono kwa wale ambao hatuna wa kututaja, Mods wawe wanazifuta tu kutupunguzia msongo wa mawazo.
Bora nisinge kutag kabisa, hukubali nachokwambia.Una kichaa[emoji16]
Wawili tu?! Wengine tunao mia kidogo ila kwa kuanzia nakazia hao hao uliowatag wewe.
Shunie haka kababe nakapenda kabisa kwanza kako charming, pili ni mfuasi wa mastory anayopost huko entertainment.
Smart911 huyu mpendwa hanaga makuu, humkuti kwenye malumbano hasi hata kwa bahati mbaya. pia siku hizi kawa mtundu sana kwenye comments zake....ila mambo yake ngoja nimuachie mwenyewe.
Nyongeza:
#Maboss zangu na nusu π Mjep yna2
# pia kuna bibi Zuu ZoΓ«
.......na hapo bado kuna wale secret admirers ' nyie ndio mnaitaga ma-crush eeh! Hapa wako kama mia 3 ishirini.
Ahsante rafiki penda sana wewe. πππ
Hapo fureshiiii
Hahahaaa. Kweli aisee kutokuandika nacho ni kipaji kikubwa kweli na hawa ndugu zangu wanacho.Kutokuandika mara kwa mara nacho kipaji,
Mimi niliamua kufungua verified Id ili angalau nijifunze kufunga mdomo lakini wapi, kila siku nayaporomosha tu.
Miaka ya mbele watu wakianza kufukua makaburi yangu, Mungu pekee ndo anajua ππππ