Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Tag members wawili unaowakubali sana hapa JF

Ugumu autoe wapi... mgumu nyuma ya keyboard... Mgumu public... oops!!

Kumbe hapa ni jukwaani... ngoja mambo yake nimuachie mwenyewe...

Nisije nikamwaga kuku kwenye mchele mwingi...


Cc: mahondaw
😂😂😂😂
Hakiii smart nacheka ujue..utalipia mbavu zangu

Alafu sikuhizi umeanza kupata Yale mambo yetu ya kugida mpaka Koo linawaka Moto asubuhi asubuhi mno...punguza bwana
 
  1. miminimkulimaakachekasana - huyu jamaa hachekeshi ila kila nikiiona hii ID huwa nawaza aliwaza nini kujiita hivi.
  2. Daktari wa Meno - nafikiri kwenye kitengo cha burudani ya comed humu JF sasa hivi huyu jamaa anaweza kuwa anaongoza kunifurahisha.

Hizi thread zinasababisha sonono kwa wale ambao hatuna wa kututaja, Mods wawe wanazifuta tu kutupunguzia msongo wa mawazo.
 
miminimkulimaakachekasana - huyu jamaa hachekeshi ila kila nikiiona hii ID huwa nawaza aliwaza nini kujiita hivi.

Daktari wa Meno - nafikiri kwenye kitengo cha burudani ya comed humu JF sasa hivi huyu jamaa anaweza kuwa anaongoza kunifurahisha.

Hizi thread zinasababisha sonono kwa wale ambao hatuna wa kututaja, Mods wawe wanazifuta tu kutupunguzia msongo wa mawazo.
Naomba nikazie kwa Daktari wa meno
 
Wawili tu?! Wengine tunao mia kidogo ila kwa kuanzia nakazia hao hao uliowatag wewe.
Shunie haka kababe nakapenda kabisa kwanza kako charming, pili ni mfuasi wa mastory anayopost huko entertainment.

Smart911 huyu mpendwa hanaga makuu, humkuti kwenye malumbano hasi hata kwa bahati mbaya. pia siku hizi kawa mtundu sana kwenye comments zake....ila mambo yake ngoja nimuachie mwenyewe.

Nyongeza:
#Maboss zangu na nusu 💕 Mjep yna2
# pia kuna bibi Zuu Zoë
.......na hapo bado kuna wale secret admirers ' nyie ndio mnaitaga ma-crush eeh! Hapa wako kama mia 3 ishirini.

Ukweli mtupu! Napenda sana kusoma comments za mkuu Smart911 na pia kwenye jukwaa letu poa la entertainment, story za Shunie
 
Kutokuandika mara kwa mara nacho kipaji,
Mimi niliamua kufungua verified Id ili angalau nijifunze kufunga mdomo lakini wapi, kila siku nayaporomosha tu.
Miaka ya mbele watu wakianza kufukua makaburi yangu, Mungu pekee ndo anajua 😀😀😀😀
Hahahaaa. Kweli aisee kutokuandika nacho ni kipaji kikubwa kweli na hawa ndugu zangu wanacho.

Mi nikitaka nisiandike basi nisilogin nje ya hapo lazima tu ntaandika yaani.

Hahahaaaa. Hamna hauwezi kufukuliwa bana. 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom