Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Usiniambie hii ni vita? kwa heshima ya Smart911 amani itawale tasavali
Mlishaishinda hii vita siku nyingi sana.
Binafsi mlivyovusha miaka 2 ndipo nilichukulia kwamba mmevuka.
Kitu mlichokifanya sidhani kama kuna anayeweza kuki-replicate humu JF.
Mnastahili tuzo kwa hilo.
Usijali tuko pamoja mdogo wangu Amiin mingi mingi kwa dua zako mwaya.Dada!!!!!
Nimeishiwa maneno... Heshima iliyoje hii??
Nashukuru sana sana.. Na wewe ni moja ya watu ninao wakubali sana humu Jukwaani.. Una hekima na busara ambazo kwangu mimi ni shule tosha kabisa.. Mungu akubariki.
Mazoea na watu wale yanaepukika sasa jamani!!unakuta nipo zangu nimetulia sina hili wala lile mtu huyo PM eti "Niambie"[emoji28][emoji28]Tunaenda nao tu hivyo hivyo.
Na mimi ngoja niwataje wakwangu.. Japokuwa nina wengi sana ninaowakubali zaidi ya MIA MOJA. Japo mleta mada atanisamehe nimetaja zaidi.
@ShadeeyaHeaven Sent na@Heaven on Earth
Humble African
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlishaishinda hii vita siku nyingi sana.
Binafsi mlivyovusha miaka 2 ndipo nilichukulia kwamba mmevuka.
Kitu mlichokifanya sidhani kama kuna anayeweza kuki-replicate humu JF.
Mnastahili tuzo kwa hilo.
Asante sana mkuu. Smart911 Alinifundishaga katika maisha Siri ni kutumia akili nyingi si nguvu nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka sana ulivyopambana mwanzoni.
Kila safari mwanzo wake huwa na changamoto zake.
Vijana wana la kujifunza kutoka kwenu.
😂😂😂😂
Hakiii smart nacheka ujue..utalipia mbavu zangu
Alafu sikuhizi umeanza kupata Yale mambo yetu ya kugida mpaka Koo linawaka Moto asubuhi asubuhi mno...punguza bwana
Mapambano yanaendelea ndugu tena yamepamba moto ..as days goes Shetani azidi kuingilia kati ..thou I believe in Smart911 hajawahi niangusha na he never forget his brain with him
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuona nimefurahi!Ahsante Depal.
Na wewe ni moja ya watu ninaowakubali sana hapa JF.
Sent using Jamii Forums mobile app
😘😘 DWanafamilia yangu wa LIKES ❤❤
Numbisa The Happiness carbamazepine Saint Anne Khantwe
Davet king himself 😀
SHIMBA YA BUYENZE big bro
andjul uncle maparachichi
capitalpool mr. Codes
ningendako baba kajacho 😀😀
myoyambendi jirani 🖐
moudgulf 🖐🖐
Daemusin babu rojo rojo 🍂
Kabisa mkuu unainspire members wengi sana hapa jf, huna makuu....naamini members wengi wanajifunza kutoka kwako
Tayari kijiwe cha story.
'uzi unasema taja member wawili unaowakubali'
Ni kweli bora usingenitagBora nisinge kutag kabisa, hukubali nachokwambia.