😂😂😂😂upole tuachie sie[emoji1787][emoji1787] basi mimi mbishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmhh maeneo gani hayo na ulijuaje kama ni mimi
mara nying tu mbona [emoji23][emoji23][emoji23]afu na kipindi kile kwenye group
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]upole tuachie sie
Kwa hiyo unabisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nina wasiwasi utakuwa uliona mahali kwenye comment nilisema kuwa nimeshawahi kubishana na matraffic
Unatakiwa ujikaze tu bibie.Ustaadhi vipi tena?
Mbona mashikolo mageni?
Hegelian dialectic meets Selassian asymptotic pursuits to never be attained.
Yani English ushindwe wewe, halafu lawama unipe mimi mkuu?Unatuchanganya kinoma na hayo ma english yako ngumu ngumu
tupo mbali na dictionary na Google translate ina zngua huku asee
Nakazia asee... ...Sitaki kukumbuka maana mpk nikajiona Sasa mi ni komamanga.. we ni msala na nahisi ni mkali kwelikweli mtu akiingia anga zako..😅
Nimetania tu, kuna analysis nilikuwa nafanya hapa ya fines, sasa kuna trafic fines pia. Nilipoona hilo swali lako ikabidi nichomekee tu trafic.
Hata sijawahi ona hiyo.
Unatakiwa ujikaze tu bibie.
Mzima lakini ?
embu niache kwanzaUliza wanaonijua vizuri dear. Mimi ni mpole sana.
ndo ubishi wenyewe huo😂😂Halafu nilijua tu lazima ulikuwa unamaanisha kipindi kile kwenye group, ile ilikuwa changamsha genge.
Mimi siyo mbishi rafiki, bali tu huwa napenda kusimamia kile ninachokiamini.
embu niache kwanza
ndo ubishi wenyewe huo[emoji23][emoji23]
we ni m'biishii haswaaa ... ... ..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ubishi ni nyuma ya keyboard tu dear, in real life mie ni mpole sema tu ndiyo vile sipendi kuonekana mpole naogopa nitaonewa.
KENZY hivi huyu jamaa ulimpa sifa gani eti? asee hujakosea maanaYani English ushindwe wewe, halafu lawama unipe mimi mkuu?
Kwani mimi mjumbe wa kamati iliyokuzuia kujifunza English?
we ni m'biishii haswaaa ... ... ..
kwa mara ya kwanza ume behave ki upole...Haha sawa