Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
mara nying tu mbona [emoji23][emoji23][emoji23]afu na kipindi kile kwenye group

Halafu nilijua tu lazima ulikuwa unamaanisha kipindi kile kwenye group, ile ilikuwa changamsha genge.

Mimi siyo mbishi rafiki, bali tu huwa napenda kusimamia kile ninachokiamini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nina wasiwasi utakuwa uliona mahali kwenye comment nilisema kuwa nimeshawahi kubishana na matraffic

Nimetania tu, kuna analysis nilikuwa nafanya hapa ya fines, sasa kuna trafic fines pia. Nilipoona hilo swali lako ikabidi nichomekee tu trafic.

Hata sijawahi ona hiyo.
 
Hegelian dialectic meets Selassian asymptotic pursuits to never be attained.

Unatuchanganya kinoma na hayo ma english yako ngumu ngumu

tupo mbali na dictionary na Google translate ina zngua huku asee
 
Halafu nilijua tu lazima ulikuwa unamaanisha kipindi kile kwenye group, ile ilikuwa changamsha genge.

Mimi siyo mbishi rafiki, bali tu huwa napenda kusimamia kile ninachokiamini.
ndo ubishi wenyewe huo😂😂
 
Yani English ushindwe wewe, halafu lawama unipe mimi mkuu?

Kwani mimi mjumbe wa kamati iliyokuzuia kujifunza English?
KENZY hivi huyu jamaa ulimpa sifa gani eti? asee hujakosea maana

akikujibu kitu lazima tu akujibu kwa namna ambayo itaanzisha dialogue...

sasa akikutana na yule mzee wa tit for tat,uzi wote unageuka wa watu wawili tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom