ππ
Nimkimbie mtu ninaeweza kumpiga mtama mmoja tu chali..π
Labda nimkimbie kwa kuepuka nitapelekwa jela kwa kumpiga mtu na tumapengo twake..π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuwa muwazi chama gani maana Kuna vyama vingi hata CHAPUTA ni chama!.. vibamia classic ni chama pia na hicho vibamia mi ndo rais wao..[emoji23]
Nirukie tu ila ukirudi kwake akakuuliza "hii mimba umeitolea wapi.." mjibu kwa mtu mwenye meno yake anaejua kuuma..πNyaaambaaaafffff....
Yaaani unamnyasanyasa mahtan wangu, acha nikurukie mwenyewe nikupe za "snake and the monkey shadow fight".
CHAPUTAWa mademu
Hahahahah hii ya mboga saba huwa naambiwa hata huku kwenye real life japo sio kweli
Unamjua Don Clericuzio ?
Naomba na yeye uotee yake π€
Nirukie tu ila ukirudi kwake akakuuliza "hii mimba umeitolea wapi.." mjibu kwa mtu mwenye meno yake anaejua kuuma..π
Duh! Acha kunifanyia hivyo.
Wa kimboka[emoji102][emoji125][emoji2536][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
We umekaa ki mboga saba..Hahahahah hii ya mboga saba huwa naambiwa hata huku kwenye real life japo sio kweli
Unamjua Don Clericuzio ?
Naomba na yeye uotee yake π€
Hahahhahah
Mleta mada inaonekana ana kitu ndani yake,manake alichotaja kuhusu mimi ni kitu naambiwaga kweli
Akiotea yako inaweza kukaribiana na ukweli pia
AsprinShubaaamiittt
Hii vita ngoja niiuze, leo jiandae kulala selo kwa kutaka kuleta madhara kwenye mali asili za seri kali.
Babuuuuuu babuuuuu Asprin
Njoo huku huyu mjukuu wako alitoroka jando uje umrudishe anasumbua vilembwe huku.
Asikusumbue sana, hana lolote kama Bashite na Urais wa Kigamboni...Shubaaamiittt
Hii vita ngoja niiuze, leo jiandae kulala selo kwa kutaka kuleta madhara kwenye mali asili za seri kali.
Babuuuuuu babuuuuu Asprin
Njoo huku huyu mjukuu wako alitoroka jando uje umrudishe anasumbua vilembwe huku.
We umekaa ki mboga saba..
Tusaidiane ndugu kuwamaliza memba wote si mchezo mnataka ninunue ugomvi kwa wote si nitafungwa..π