Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Huyo ni da vinci kabadili jina tu..

Si nakujua ulivyo machepele ndio maana nikaandika kule hutulii😂😂
Tuliza wenge mama..
Ohooo Jesus!!trust me nilikuwa najua ni mwanamke ndo mana nikajiachia vile..😫😫😫manina
 
🤣🤣🤣🤣unafikiri umetumia id mpya 😅😅imekuja hii uliyoanzisha nayo uzi.

Tulia mzeiya mimi si mrembo..angalia usiingie kingi
🤣🤣🤣😂😂
Una mapepe Sana we binti...
Unaonekana korofi sana😅

Bwana wa majeshi na atete nawe..😅
 
🤣🤣🤣😂😂
Una mapepe Sana we binti...
Unaonekana korofi sana😅

Bwana wa majeshi na atete nawe..😅
Chizi sana wewe🤣🤣🤣🤣naona unaendelea kujikaanga kuniita binti🤣🤣we haya👀👀
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom