Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Acha kuzuga wew laana inakuhusu tu haiwezekan🤪🤪🤪Hata Mimi nafaa kuwa mume kwani shida I wapi..?
Nami utanikosesha mke ujue..😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuzuga wew laana inakuhusu tu haiwezekan🤪🤪🤪Hata Mimi nafaa kuwa mume kwani shida I wapi..?
Nami utanikosesha mke ujue..😂
Nimeshakwambia, chochote atakaochandika kuhusu mimi ni cha kweli kwa 99%.
Ohooo Jesus!!trust me nilikuwa najua ni mwanamke ndo mana nikajiachia vile..😫😫😫maninaHuyo ni da vinci kabadili jina tu..
Si nakujua ulivyo machepele ndio maana nikaandika kule hutulii😂😂
Tuliza wenge mama..
Nimetulia mkuu..haya endelea na 🦋 wako babaTulia utanipeperushia kipepeo..😅
🤣🤣🤣🤣unafikiri umetumia id mpya 😅😅imekuja hii uliyoanzisha nayo uzi.Mambo mrembo..?
🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣unafikiri umetumia id mpya 😅😅imekuja hii uliyoanzisha nayo uzi.
Tulia mzeiya mimi si mrembo..angalia usiingie kingi
Unajua machakachaka ni kitu gani?
Chizi sana wewe🤣🤣🤣🤣naona unaendelea kujikaanga kuniita binti🤣🤣we haya👀👀🤣🤣🤣😂😂
Una mapepe Sana we binti...
Unaonekana korofi sana😅
Bwana wa majeshi na atete nawe..😅
😆😆😆 acha zako dogo@Depal
Mwenye misimamo lkn tatanishi..😜
Nani anabet?[emoji3]Mkuu nashangaa mpk sahivi kwanini hujapewa uenyekiti wa kubeti.[emoji28]
Nilishangaa mbona sikuoni. Kumbe umebadili avatar.Unajua machakachaka ni kitu gani?