Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Kwanza kwanini umeniweka namba mbili....??

Back to the topic...

KENZY katoto kanakopenda vizee ila kuvihudumia hakawezi.

Wote nnaotaka kuwaandika hapa ni washkaji zangu humu JF, acha niwamezee nimtaje huyu ambaye hayupo siku hizi ila zamani alikuwa shabiki kindakindaki.

Tyta mpiga picha maarufu na mchokozi wa Kasie.
Huyu Tyta alipotelea wapi? Mzee wa mapicha picha.
 
Wewe ni mmojawao wanaotesekaga na Mimi...Ila najua ni sababu gani..na kuna kadada pia fulani kanateseka namimi balaa...! Poleni kwakweli!
Sijawahi kuteseka nawe, wewe mwenyewe walijua hilo.
Pita zako huwa zina msaada kwetu.
Usiuchukulie uzi serious, umekuja for fun tu.😀
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom