Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe endelea kujipa matumaini ya bwana..Endeleeni kudanganyana ila kaeni mkijua saa 6 usiku muwe mmewasili tayari kwa maombi ya uponyaji..😂
Haha hivi nani anakuotesha;
Sana.Ndio uanze kuniona sasa
Usiponiona roho inauma
sawima
Binti misimamo..😅
rikiboy
Muasisi wa kula kimasihara
(We pepo utaisikia tu) 😂
Wangari Maathai
ulipo tupo..😂
mkwepu
Hapa like tu..!
Sana.
Ilibaki kidogo nifungue uzi wa kukutafuta.
Wewe ni mmojawao wanaotesekaga na Mimi...Ila najua ni sababu gani..na kuna kadada pia fulani kanateseka namimi balaa...! Poleni kwakweli!Wangari hapo hujakosea. Sijui hajawahi kupita wapi huyu madam😂😂
Ngoja nipotee...🏃Hata mie siku ukipotea nakufungulia uzi wa kukutafuta 🤭
Huyu Tyta alipotelea wapi? Mzee wa mapicha picha.Kwanza kwanini umeniweka namba mbili....??
Back to the topic...
KENZY katoto kanakopenda vizee ila kuvihudumia hakawezi.
Wote nnaotaka kuwaandika hapa ni washkaji zangu humu JF, acha niwamezee nimtaje huyu ambaye hayupo siku hizi ila zamani alikuwa shabiki kindakindaki.
Tyta mpiga picha maarufu na mchokozi wa Kasie.
Sijawahi kuteseka nawe, wewe mwenyewe walijua hilo.Wewe ni mmojawao wanaotesekaga na Mimi...Ila najua ni sababu gani..na kuna kadada pia fulani kanateseka namimi balaa...! Poleni kwakweli!
Yani wewe mondray wewe..rudisha maua yangu huko😅😅Nimekosa nini mimi.?
Nini sasaMhhh