Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Mboga saba huwa hawabet,mie nabet ujue 🀣

Nisaidie huyo mmoja tu,wengine nitaanza kutiririka nao mimi
πŸ˜‚
Itakuwa umerithi tu huko kwenye ukoo wenu Bibi wa Bibi wa Bibi yake bibi mzaa Bibi usikute alikuwa anabeti hata kwa mihogo shambani..πŸ˜…

Don Clericuzio
Huyu nae ndo mbetiji aliekubuhu mixer mhuzuriaji wa....πŸ˜…
 
πŸ˜‚
Itakuwa umerithi tu huko kwenye ukoo wenu Bibi wa Bibi wa Bibi yake bibi mzaa Bibi usikute alikuwa anabeti hata kwa mihogo shambani..πŸ˜…

Don Clericuzio
Huyu nae ndo mbetiji aliekubuhu mixer mhuzuriaji wa....πŸ˜…


Huwa anabet?

Anahudhuria wapi?
 
Wee Kweli means kuli find, mwana kuli get...

Mi nshauza kesi.
Hiyo sio kesi ni changamoto na ishatatuka wazee wameniacha nimalizane na mrembo mwenye mapengo..πŸ˜…
 
Asikusumbue sana, hana lolote kama Bashite na Urais wa Kigamboni...

Chaliiii mamamamae zake na kalio mbendembende kama pasi ya mkaa

Ngoja niendelee kwanza kufanya uzinzi na K Vant ya baridi na juisi ya mapapai


Zati izi wai ai lavuuu yuu so machii Babu ODM, hakunaga kama wewe..... Mmmuuaahhh!!

Malabuku zako mara stini na sabini na elfu laki mia nne bilioni saba milioni miatisa itapendeza kama dokta shika aahahaaahahahahaaa.
 
Hiyo sio kesi ni changamoto na ishatatuka wazee wameniacha nimalizane na mrembo mwenye mapengo..πŸ˜…


Khaaaa, ngoja unaniliu.....aahahahahahaa.
 
Nataja wengi

Shadeeya
Mdada mstaarabu kama pacha wake hapa 😊

Sanchez magoli
Mvivu sana wa kuchat

chaliifrancisco
Kada mtiifu wa #YNWA anaweza akafa huyu kwa ajili ya team yake

SHIMBA YA BUYENZE
Mstarabu lakini nahisi kama mgomvi huyu

The Monk
Hana maneno mengi

ZoΓ«
Mbishi huyu,akisimamia kitu tena kikiwa kinahusu utetezi wa wanawake anaweza kubishana na JF nzima

Nitaendelea....
 
Popote ulipo KENZY nakuwasha laanaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Utanikosesha mume ujueπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hata Mimi nafaa kuwa mume kwani shida I wapi..?
Nami utanikosesha mke ujue..πŸ˜‚
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…