Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Coca ajira siyo rahisi hivyo😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatarii tupuu
Hapo Coca unaua pepa ya mwisho huku unasema tayari nina ajira😆😆😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coca ajira siyo rahisi hivyo😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatarii tupuu
Ndo unataka kusemaje? 😂😂😂Yupo mbali huyo kasafiri kama kawaida yake[emoji23]
Muumbue na yeye bhanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona yako huweki? [emoji23][emoji23][emoji23]
Nina pdf lako ujue
Uongo upi? Yeye akichat na wengine pembeni, ha ndio huleta kila kitu. Hili kosa sidhani kama atakuja kurudia, Kuna watu nadhani aliwaamini sana ndio hao wakamsnitch tabia zake nyuma ya paziaYesu wangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ya kweli haya??
Ila jamaa mbona kama ni mtu poa sana
Mtu wa maombi sana,,
Ndio maana wengine tunapambana na ajira portal
Humu jf kumuomba mtu ajira ni kujitafutia matatizo [emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣Mi mambo yangu na Hawa watoto huwa nawaonya hapahapa hamna Cha PM...watukutu sana!Nimepitia convo zenu, naona huko pm kunawaka moto😁😁
Huyu shemeji yenu atawaponza nyie mjazeni kichwa 😂😂😂Hafaniii hata kidogoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ile picha hukumuona? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu akikumata hakuachi mpk akumimbike udugu sio kwa vayolensi hizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi yameisha[emoji119]
Hapana nafanya masijala kumbukumbu tunazo 😆😆Bff unachochea ugomvi 😂😂😂
Namuonea huruma asije kuzimia bure, nina email yake hapa 😂😂😂Muumbue na yeye bhanaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wabaya sana. Mm nimekubali lawama lakini mjue walivyo wakiwa huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila watu wabaya
Kumbe Babu ni mrefu mwembamba kafanana na Kagame😅😅??siku hizi simuoni jukwaani alikuaga anaenda wapi?Kwa ile picha hukumuona? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utasema Paul Kagame huyu hapa.
Si ni muhaya? Ukute wa Kigali kwelii. Utajuajee?
😂😂😂😂 khaaaa!!! Udugu utaachanisha ndoa za watu me simoKwa ile picha hukumuona? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utasema Paul Kagame huyu hapa.
Si ni muhaya? Ukute wa Kigali kwelii. Utajuajee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee JF tuiachee hivihivii.Coca ajira siyo rahisi hivyo[emoji23]
Hapo Coca unaua pepa ya mwisho huku unasema tayari nina ajira[emoji38][emoji38][emoji23]
Babu wa Tamisemi??Ndo unataka kusemaje? [emoji23][emoji23][emoji23]
We nipo karibu yako hapa usianze kujifanya uko single!! Au nawe unataka kuiga tabia za babu wa TAMISEMI
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu shemeji yenu atawaponza nyie mjazeni kichwa [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna kitu nimekumbuka imebidi nicheke😂😂😂😂 khaaaa!!! Udugu utaachanisha ndoa za watu me simo
🤣🤣🤣 Eee ajira zote anazo za halmashauri wewe hutaki?Babu wa Tamisemi??
Hapo Mtihani , ua - flowerUa la kipekee change it to English shemeji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] akilalamika sana halafu saa hizi kamblock
Mkuu,Watu wabaya sana. Mm nimekubali lawama lakini mjue walivyo wakiwa huko
Ndio maana nikiwa nazozana na mtu huku wala sio uongo inakua ni kweli kabisa ndio maana wanakuwaga wapole sana wanajua tayari washajulikana tabia zao