Mjep shkamoo brotherWewe!
Mimi nilitoa elf 30 tatu mchumba π€£π€£π€£
Kama wamesema silitoa sate sauzand siyo mimiπππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.Mbona sielewi[emoji38]
Mjep tena??
Dah
Nilale mie kesho mapema Kanisani[emoji23]
Wala usipate tabu, mfano rahisi tu huyo national antem rafiki yake mkubwa ni mwachuluwi, mwachuluwi na cute wife walikua marafiki. Chats zote za national antem huyo mwachuluwi alikua anamtumia cute wife. Ikifika kwa cute wife si ndio imefika na kwanguYaani Leo kanipa Raha sana,,halafu hajui umbea anasema Hadi aliyemwambia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Yaani mimi umbea nmechanjiwa mwenzioπ π π mahaba mfate mzaramo joannaNdio maana nilikukimbia, nikitaka mambo yangu upo busy na umbea hukoππππ
Ni jina gani anatumia?Ndiyo tayari Joanna amekupa code hapo juu
Hata ile skendo yako nasikia ni babu mwenyewe alisambaza hizo habari za kutoka na wewe na misifa yake πππMi nikashangaa
Naambiwa km nani
Na hata kwenye mabattle sikuwepo timu yoyote.
Anyway ngoja nilale Mimi.
DahCute wife ndio huyu huyu Lamomy? Aaaah hapo sasa naelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko ulitoa 90k?Wewe!
Mimi nilitoa elf 30 tatu mchumba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama wamesema silitoa sate sauzand siyo mimi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
We dogo hukutegemea nn sasa? Tuache haya[emoji23][emoji23][emoji23] najua kuna unafikii humu, ila kwa extro sikutegemea kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah ile siku ilikua tafranii, full heka heka.Rabbitus alijua kukichafua siku ile babu alinywea km sio yeye [emoji23][emoji23][emoji23]
Mkeo naye mmbea cute πππWala usipate tabu, mfano rahisi tu huyo national antem rafiki yake mkubwa ni mwachuluwi, mwachuluwi na cute wife walikua marafiki. Chats zote za national antem huyo mwachuluwi alikua anamtumia cute wife. Ikifika kwa cute wife si ndio imefika na kwangu
Tuyaache shem jamani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We dogo hukutegemea nn sasa? Tuache haya
Tunatunga? Yeye alikua anachat sana na mwachululiwi, ndio huyo aliyekua anamsnitchMie niliambiwa mnatunga meseji za uongo kuchafua watu[emoji1787]
Marahaba nkamuMjep shkamoo brother
Nimekumiss tu mimi,toka kijiwe kitawanywe hatuonani.
Yesu wanguπππHata ile skendo yako nasikia ni babu mwenyewe alisambaza hizo habari za kutoka na wewe na misifa yake πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmeanzaa sasa.Hata ile skendo yako nasikia ni babu mwenyewe alisambaza hizo habari za kutoka na wewe na misifa yake [emoji23][emoji23][emoji23]
Irudiwe πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah ile siku ilikua tafranii, full heka heka.
Dah πππTunatunga? Yeye alikua anachat sana na mwachululiwi, ndio huyo aliyekua anamsnitch
Huu ukweli aliupata kwa uchungu Sana, hatarudia hili kosa