Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Tunaenjoy maisha huko

Def kaja kutema nondo za huko ndani ya club.. bahati iliyoje mmatumbi mwenzetu anatupa za ndani.

Captain Marvelous mzee wa Liverpool, yeye na liver liver na yeye.. hana Uzi mwingine🤣

Junia nitamfikishia salamu zako😂
😂 😂 Miss Liverpool good mornings..

Once a Red Always a Red....

YNWA
 
Duh aisee
Hebu tuone maana haya ni maajabu ya huu mwaka[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie screenshots alizonitumia, ni kat ya huyo babu na yeye member aliyenipaga huo ubuyuu, babuu ndo alikua anamuambia huyo member kuwa mlikutana Morena hotel.

Cku secrenshot, nkaamua kufuta tyuuh chat za PM huwa siachi.
Ningeshatuma mda kabla ya ma PDF, km ningetakaa.
 
Ngoja sasahivi na mimi nijidai mtoa ajira[emoji1787]

Sema watu Tambo za ajira huwa wanazichukulia serious
Mm mtu akinambia mambo ya ajira huwa namsikiliza tu afu napotezea..
Atajiongelesha, akiona sizingatii anaacha.



Sema vijana wengi tupo desperate ajira kiasi cha kupapatikia mtu anayesema atakupa kazi mwisho wake ni kujenga matarajio makubwa na disappoinment za kutosha.
Km kwa mie nisidanganye, couz yuko vizuri kwenye taaluma yangu na pia alini aminisha sana.

Kikichokuja kutokea after varangati lile, na kila kitu kiliharibika.

Ndo nilipo kuja kujua kumbe ni muongo na huwa ana danganya wadada wengi humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie screenshots alizonitumia, ni kat ya huyo babu na yeye member aliyenipaga huo ubuyuu, babuu ndo alikua anamuambia huyo member kuwa mlikutana Morena hotel.

Cku secrenshot, nkaamua kufuta tyuuh chat za PM huwa siachi.
Ningeshatuma mda kabla ya ma PDF, km ningetakaa.
Kwamba alikutana na mimi Morena au nani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom