Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kuna ndugu zetu wametokomea na hilo sakata😂Let's sleep dog lies
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo
Warudi tu, maisha ndo hayahaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ndugu zetu wametokomea na hilo sakata😂Let's sleep dog lies
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo
Kacoca kametokomea kusikojulikana😆😂angetuletea tumuone mchawiWallah Mimi nazisubiri kwa hamu hizo screen shots. Niumbuke leo mtu mzima
Uzuri watu wataninyima bundle, ila sio umbea wa PM. Shots zilikuwa zinanifikia tu navyochambwa na kuimbiwa parapanda. Katakuja tuKacoca kametokomea kusikojulikana😆😂angetuletea tumuone mchawi
Dada wa watu unakuja selfika
Kumbe watu washakusimanga na habari huna
Halafu nimekumbuka😆🤣🤣Uzuri watu wataninyima bundle, ila sio umbea wa PM. Shots zilikuwa zinanifikia tu navyochambwa na kuimbiwa parapanda. Katakuja tu
Usinikumbushe bana. Uzuri wa JF bana, unaweza ukasikia story ukacheka au kusikitika; kumbe mhusika ni wewe na haujui maskini. Hadi nilifunga kukemea Roho za mauti; sio kwa kuchuriwa kule. Back to sendersHalafu nimekumbuka😆🤣🤣
Kumbe picha lilianzia kwnye parapanda😆😂😂
Umekaa unahurumia watu
Kumbe wengine wamekaa wanaimba parapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja Coca aje aweke huyo aliyekuonea.
Ni fedheha sana mtu mzima kufedheheshwa bila sababu🤣
Depal ana sauti ya kudeka sana ndomaana sipinduagi mwake ni bora mtu adanje kuliko kumkosa.Kwa Depal hujakosea[emoji3590][emoji23]
Lamony sijawahi kumsikia
Leo upo lindo nini?[emoji23][emoji23][emoji23] kesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usinikumbushe bana. Uzuri wa JF bana, unaweza ukasikia story ukacheka au kusikitika; kumbe mhusika ni wewe na haujui maskini. Hadi nilifunga kukemea Roho za mauti; sio kwa kuchuriwa kule. Back to senders
Depal ana sauti ya kudeka sana ndomaana sipinduagi mwake ni bora mtu adanje kuliko kumkosa.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mwanakondoo ameshinda mwanamageuzi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi sasahivi nasubiri screenshot tu
Nilishashangaa vya kutosha
Ni ukweli mkuu Depal hanaga makandokandoHahah mbona anasema anawekaga magic voice. Unaibiwa Asubuhi sana
Tumfuate[emoji23]Mwanakondoo ameshinda mwanamageuzi...
Shallom..Tumfuate[emoji23]
Shallom
..Mi sijawahi kukupinga Man ..Endelea kudekea na sauti ..
Kwa Depal huniambii kitu mkuu me ndo nammudu..Mi sijawahi kukupinga Man ..Endelea kudekea na sauti ..
Naelewa naelewa mkuu, Ni walevi mnaojuana vyema. Hayo mengine sina uhakika blood
Hapana mkuu ni love tu tuliokua nayo hatuna makuu na mtu.Naelewa naelewa mkuu, Ni walevi mnaojuana vyema. Hayo mengine sina uhakika blood
KENZYSi uzi wa kutumia akili kubwa ni sehemu ya burudani tu!..
Mtag mtu kisha andika sifa yake moja tu jinsi unavyomfikiria kutokana na vile anavyoitumia I'd yake lkn kwa kufuata sheria za jf isiwe uwanja wa matusi au kurushiana visirani..😅
Mshana Jr
Mganga mashuhuri..!
Kasie a.k.a matata
Bibi mkorofi kitandani..😅
Kiranga
Mtu mbishi tu!
Mzee Mwanakijiji
Hekima..
Chizi Maarifa
Jina linajieleza..😅
Shunie
Mdada mkarimu..
MLEVi Mmoja
Mfano wa waliokuwa wanakula ada shuleni..😂
GuDume
Mtu anaezeeka vibaya..😅
Saint Anne
Kondoo wa bwana..
lliedie
Kabinti kapolee..🤗
Depal
Mwenye misimamo lkn tatanishi..😜
Miss Natafuta
Kamati ya kudang..a😎🙈
Don Nalimison
Mtu mwenye malalamiko😂
Kiduku Lilo
Ile hela tuma kwenye namba hii..😂
katoto kazuri
Anajifunza umbea..😅
Money Penny
Kamati ya michambo na udaku..🏃
List iendelee..
Safi safi Man..komaa hapo hapo ila ngoja tuchombeze kidogoHapana mkuu ni love tu tuliokua nayo hatuna makuu na mtu.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app