Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Babu nilimkataa akaanza kuniambia me kibibi eti 😂😂😂😂Ucnambiee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu hapoi wala haboi.
Siku hiyo nimepost pic yangu kaanza kusifia “Chuma ya Kantry hiyo” jamaa anafaidi muwe mnatukubali na sie 😂😂😂