Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Watu na Mr wenu mjiniii.
Mr km Mr [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mbna pambeeee.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Coca bana

Nanogesha tu stori..

Siku hiyo nilipita mcity katika hekaheka za vibarua vya kausha damu vya muhindi...
Tulikuwa tunatembelea wateja na matembezi yaliishia mcity nikamkuta bro anakunywa kahawa... Nakumbuka hata selfika nilipost picha mandhari ya mcity.
 
Alisema ataturoga wote tutakufa yeye ni mchawi aliyeshindikana [emoji23][emoji23][emoji23]
Cha ajabu kakimbia yeye, kasahau km me mkinga sirogoki. Sisi ndo tunagawa uchawi kwetu
Unarogeka vizuri tu[emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Coca bana

Nanogesha tu stori..

Siku hiyo nilipita mcity katika hekaheka za vibarua vya kausha damu vya muhindi...
Tulikuwa tunatembelea wateja na matembezi yaliishia mcity nikamkuta bro anakunywa kahawa... Nakumbuka hata selfika nilipost picha mandhari ya mcity.
Mie nakumbuka kila kitu, had picha ulituma na tuliona.

Ndo nkashangaa eti mlikua mnadiscuss malovedave. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie nakumbuka kila kitu, had picha ulituma na tuliona.

Ndo nkashangaa eti mlikua mnadiscuss malovedave. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha tu
Vn zipo😂 ,ninazo maana nilikuwa live
Na hadi nakutana naye nilipewa ruhusa
Na mhusika alikuwa anafuatilia kila stage,,

Mimi huwaga sifuti vitu.

Sema HS ndio alionewa aisee🤣
 
Hebu nilale Mimi 😂
Lile battle hivi liliishia wapi?

Yule jamaa Rabitas sijui alipotelea wapi?
Hivi Tinsley hajarudi tu?


Anyway
Kuna maisha baada ya selfika..
Warudi jukwaani waendelee kuenjoy maisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom