Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
We chombeza mkuu huenda ukabahatika ila kwa Depal utapoteza muda tu ni mkorofi sana.Safi safi Man..komaa hapo hapo ila ngoja tuchombeze kidogo
Duh,kweli namkumbuka mwachi🤣Wala usipate tabu, mfano rahisi tu huyo national antem rafiki yake mkubwa ni mwachuluwi, mwachuluwi na cute wife walikua marafiki. Chats zote za national antem huyo mwachuluwi alikua anamtumia cute wife. Ikifika kwa cute wife si ndio imefika na kwangu
😂 😂 Miss Liverpool good mornings..Tunaenjoy maisha huko
Def kaja kutema nondo za huko ndani ya club.. bahati iliyoje mmatumbi mwenzetu anatupa za ndani.
Captain Marvelous mzee wa Liverpool, yeye na liver liver na yeye.. hana Uzi mwingine🤣
Junia nitamfikishia salamu zako😂
AiseeeDepal ana sauti ya kudeka sana ndomaana sipinduagi mwake ni bora mtu adanje kuliko kumkosa.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣Hahah mbona anasema anawekaga magic voice. Unaibiwa Asubuhi sana
Salama kabisa vipi wewe umeamka poaAiseee
Mkuu za asubuhi
Kheri ni nyingi upande huu, sijui kwako.
Hata mimi pia naenjoy tu na hii hali ya hewaKheri ni nyingi upande huu, sijui kwako.
Leo umekuja chitchat[emoji23] [emoji23] Miss Liverpool good mornings..
Once a Red Always a Red....
YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo mie chat za PM huwa nafutaa. Mbna ningeweka. Na Pia cku screenshot.Aiseee nimeamka hapa coca, naomba hizo screenshots. Nisaule mama malezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] abeeeh!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nilifuta convo, afu kwa heshima ya mama malezi ckutaka ku screenshot, na nilijua hata wengne watakua nazo, couz mie alinitumia hata hakua member wa selfika kivileee.Coca tunaziomba
Coca nasikia wanakusumbua sana huko pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nilifuta convo, afu kwa heshima ya mama malezi ckutaka ku screenshot, na nilijua hata wengne watakua nazo, couz mie alinitumia hata hakua member wa selfika kivileee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie screenshots alizonitumia, ni kat ya huyo babu na yeye member aliyenipaga huo ubuyuu, babuu ndo alikua anamuambia huyo member kuwa mlikutana Morena hotel.Duh aisee
Hebu tuone maana haya ni maajabu ya huu mwaka[emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kataanza juu mlimani[emoji23]
Badala kashuke fasta
Km kwa mie nisidanganye, couz yuko vizuri kwenye taaluma yangu na pia alini aminisha sana.Ngoja sasahivi na mimi nijidai mtoa ajira[emoji1787]
Sema watu Tambo za ajira huwa wanazichukulia serious
Mm mtu akinambia mambo ya ajira huwa namsikiliza tu afu napotezea..
Atajiongelesha, akiona sizingatii anaacha.
Sema vijana wengi tupo desperate ajira kiasi cha kupapatikia mtu anayesema atakupa kazi mwisho wake ni kujenga matarajio makubwa na disappoinment za kutosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa sana, mama malezi hujachambwaa mie nimesema kuhus mzushi wa sakata lenu ni yeye mwenyewee.Uzuri watu wataninyima bundle, ila sio umbea wa PM. Shots zilikuwa zinanifikia tu navyochambwa na kuimbiwa parapanda. Katakuja tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh,kweli namkumbuka mwachi[emoji1787]
Kwamba alikutana na mimi Morena au nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie screenshots alizonitumia, ni kat ya huyo babu na yeye member aliyenipaga huo ubuyuu, babuu ndo alikua anamuambia huyo member kuwa mlikutana Morena hotel.
Cku secrenshot, nkaamua kufuta tyuuh chat za PM huwa siachi.
Ningeshatuma mda kabla ya ma PDF, km ningetakaa.