Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Niko nazo nashushia na chai ya tanga mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko nazo nashushia na chai ya tanga mie
Mpende kama anavyokupenda mfikie malengo yenuUzuri ni kwamba, yeye ndo ka fall San kwangu hata co mie, hata sahiv akitaka kuniacha ruksaa, tena naweza mtafutia mtu wa kuwa nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani Jf Ukiona id mpyaa inakuchokoza chokoza kaa nayo mbaliiiii jua mchawi katumwaa anakutafuta huyoo so jiepushe naye[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii I'd mbna km naifananishaa
Ndo pakutolea stress humuNiko nazo nashushia na chai ya tanga mie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ina heka heka hii,Nakupenda shangazi wanguu
kumbe mtu anamuoneshea sijui nani huko nyieeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!
coca hebu tutoke humuuu walaii [emoji1787][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212][emoji2212]
Uhh saana tu
Malengo tunayooo!!Mpende kama anavyokupenda mfikie malengo yenu
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko yao ni mie, nawanyoosha vilivyo.Yani Jf Ukiona id mpyaa inakuchokoza chokoza kaa nayo mbaliiiii jua mchawi katumwaa anakutafuta huyoo so jiepushe naye
Akikuvuruga uje humu kutoa stressMalengo tunayooo!!
Ameeen!! Kwa niaba ya baba tamuu tutafika tyuuh.
[emoji120][emoji120]
Na naona hawakusogeleiii wanakuogopaaa balaaa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiboko yao ni mie, nawanyoosha vilivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi, labda mie ndo nivuruge afu yeye a react, ni innocent guy kwa kweli.
Na wapo comfortable wenyewe wanajifanya kupondana huku wanabebeana wanaume Uchafu mtupu!Uzuri wa humu watu hawanyimani,ni kupokezana vijiti tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lazima waniogopeee, najua kuwanyoosha.Na naona hawakusogeleiii wanakuogopaaa balaaa!!
Ndo uwe mpole sasa zingua ujute[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawezi, labda mie ndo nivuruge afu yeye a react, ni innocent guy kwa kweli.
Sijutii kumfahamu, ananipenda had najiuliza ni Mtizedi kweli huyu, ila ndo hivyo "ukipewa kilema unapewa na mwendo.
Sindomaisha yao hata nje ya jf ndomana si ngumu kufanya wayafanyayoNa wapo comfortable wenyewe wanajifanya kupondana huku wanabebeana wanaume Uchafu mtupu!
Hata mbuyu ulianza kama mchicha dada! Nyie pia mlikua new memba!Yani Jf Ukiona id mpyaa inakuchokoza chokoza kaa nayo mbaliiiii jua mchawi katumwaa anakutafuta huyoo so jiepushe naye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimetulizanaa, mapepe na uchakaramu wangu wote, kwake nimetuliaa tuliiii.
Ni wachafu Wananuka! Nasikia wote wana umeme kwa foleni hio!Sindomaisha yao hata nje ya jf ndomana si ngumu kufanya wayafanyayo
Safi mlete pande hizi na yeye afurahie jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee nimetulizanaa, mapepe na uchakaramu wangu wote, kwake nimetuliaa tuliiii.
Sibabaiki, sihangaiki, baba tamuu ninaeee.
Kumbe ndio sababu anajilengesha kwa wanaume huyo mzee gln anaonekana ana makasiriko ya kupigwa kibuti !glen kamkacha hikokibabu Nacho nishoof tuu hakimuwezi huyó danga wakimataifa