Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu kasema hapo juu kuwa kampiga chini nani sijui jf watu wakikuamuliaa [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!

Tumeambiwa wanawake wa jf wachafu tunanukaaa tunapangwa balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]!
Daaah nani tena anawakosea adabu hivyo tumpeleke kwa mwamposa

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu kasema hapo juu kuwa kampiga chini nani sijui jf watu wakikuamuliaa 🙌🙌🙌🙌!

Tumeambiwa wanawake wa jf wachafu tunanukaaa tunapangwa balaa🤣🤣🤣🤣🙌!
Nani tena kapigwa chini? 😂😂😂

Waja wa jf wamenishinda 🙌

Kwenye ilo kundi me anitoe na sinuki labda yeye atuambie alikutana na nani akawa anatoa harufu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom