Asante shemeji!maana Hawa watoto Leo wameniamsha na habari eti Mimi nipo na huyo babu Yao,nikashangaa mno!Wanamsema mtu wangu huyu wa nguvu wanataka ninunue hii kesi tu
Wamuache aisee, huyu ana heshima zake nyingi
Babu kijana huyo 😂😂😂Offcoz! kwenye usiriasi Sijawahi kuamini kama ni Babu ni Babu😁
Sawasawa!Yes usiwajibu wapotezee tu
😂😂😂😂Babu kijana huyo 😂😂😂
Dawa ni kuwapotezea tu kiukweli mfano wale waliosema naliwa na babu saii sijui wana hali gani wanavoona tunacheka tunafurahi nae humu hatunaa mudaaa🤣🤣🤣🤣🤣!Unasumbuliwa na wale vilaza unabishana nao mi nimewaambia eeh nadanga shida Nini🤣🤣🤣
Khakhakhaaaa [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1783][emoji1783]! Wee Babu ashindwe uduguuu nilivo na wivu mi na wenye mazoea na wanawake Wapi na wapi??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]!
[emoji23][emoji23][emoji23] ww ndio unanileta hukuChuma kimeamka [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mwanaume ile soup niliyokuwekea umemaliza kwanza?
Usije na hangover ukaendeleza ya jana
Yes naelewaAcha tu sasa nafanyaje? Tuachane nayo pls
Nisaidie kumlinda nimesafiri kidogoWanamsema mtu wangu huyu wa nguvu wanataka ninunue hii kesi tu
Wamuache aisee, huyu ana heshima zake nyingi
Ushaanza kumnyatia? NimekuonaOffcoz! kwenye usiriasi Sijawahi kuamini kama ni Babu ni Babu😁
Umefanya watu wanafurahia umenipiga chini si umeona huko juu!Nisaidie kumlinda nimesafiri kidogo
Nakusoma kimya kimya mnajazana upepo tu.Asante shemeji!maana Hawa watoto Leo wameniamsha na habari eti Mimi nipo na huyo babu Yao,nikashangaa mno!
Na wewe huna Imani na Mimi jamani😂😂😂😂Babu kibogoyo huyoUshaanza kumnyatia? Nimekuona
Hahaha.........unataka nawewe waseme unatoka na Babu yako?Babu nakutumia namba na me nisikose huo mgao wa pension 😂😂😂
USiumizwe na ya jf JoUmefanya watu wanafurahia umenipiga chini si umeona huko juu!
Sawa babamtu, nimekuelewa vyemaNakusoma kimya kimya mnajazana upepo tu.
Jihadhari na hiyo mijadala Jo.
Nakujua una roho ndogo, siku yakikugeuka usilie...jf kichaka, unayeshabikia yake, kesho atakuliza
Mwachi simuoni siku hizi sijui mlimfanya nini 🤣🤣 lastborn wa jfDuh,kweli namkumbuka mwachi🤣
Jo narudia, ukiona mtu anasemwa jf, usiweke hata emoj yako.Sawa babamtu, nimekuelewa vyema