Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Hannah nipo jf yapata miaka 10 rafiki yangu.
Nimeumizwa mnoo na nimefurahia pia.
Jf ni hatari kuliko hatari yenyewe.

Kuna jamaa alimuumiza mtu humu...
Jamaa alikaa kimya miaka mingi alichofanya alitafuta demu machachari sana, huyu demu wakaanza kuchat na mtuhumiwa na mapenzi mototo yakaanza.

Jamaa alivutwa kutoma msoma had Dar.
Zlijikuta ameangukia Oysterbay polisi, alichofanywa haifai kuongea.

Jf iache Hannah mwanangu, tubaki tukifurahi tu
Humu haitakiwi kufall love na mtu humjui adui yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na mazoea ya nje ya jf ya kuogopa sana, watu hawatabiriki ooh!!
 
Nilikuwepo
Unavyochambwa nilikuwepo nashuhudia mtu anavyotoka povu Kwa hela aliyoamua kutoa Kwa hiari yake.

Mimi hadi Uzi unafungwa nilikuwepo,, si ndio nilianza kugombana na mods Kwa kunipa ban [emoji38]
Nacheka kama mazuri vileee khakhakhaaaa 🀣🀣!
Na vocha za aftatu na kutoka na babuu nyieeee!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jf usiamini kila kinachoandikwa humu ! Tena vocha niliomba kwa mwanamke mwenzangu sijui hizo habari alizipata wapi hahaa!!
 
Ile siku mpk uzi kufungwa chanzo kumchamba modes na ngunyani zenu nakumbuka vzr [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza zilitembea ban afu baadae tukatolewa tulivyorudi mode akawa anafuta picha na comments mkaanza kumchachua

Akifuta nyie mnaweka tena, mara mumuite Mello na modes wake

Wakaona isiwe shida wakaufunga [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna watu wanajipa ujiko wali report kumbe hata haikuwa hivo
Mod mpumbavu sana yule,
Picha zetu za ngunyani zilimkosea Nini?

Akaanza kufuta chats zetu kisa ujinga wa watu wachache waliokosa uvumilivu baada ya kuanza kuwekeana mafile..Kwa mara ya kwanza toka najiunga jf nikapigwa ban ile siku.
Sema kivumbi kiliendelea nyuzi nyingine
Mtanange Sema hawakumaliza bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Freeee watuma mafile
Njoeni mmalizie.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom