Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
π€£π€£π€£ππππ dadeq mmoja alienda akaambiwa mnene ka kipipa cha lami π€£
Babu km huna mvuto kazi hupewi, kuna mmoja kazungushwa mpk kaamua afungue uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π€£π€£π€£ππππ dadeq mmoja alienda akaambiwa mnene ka kipipa cha lami π€£
Babu km huna mvuto kazi hupewi, kuna mmoja kazungushwa mpk kaamua afungue uzi
Duuh! π³π³π€Mr.mitraako nishamjua ni yule jamaa anajiita intelligent business
Humu haitakiwi kufall love na mtu humjui adui yako πππHannah nipo jf yapata miaka 10 rafiki yangu.
Nimeumizwa mnoo na nimefurahia pia.
Jf ni hatari kuliko hatari yenyewe.
Kuna jamaa alimuumiza mtu humu...
Jamaa alikaa kimya miaka mingi alichofanya alitafuta demu machachari sana, huyu demu wakaanza kuchat na mtuhumiwa na mapenzi mototo yakaanza.
Jamaa alivutwa kutoma msoma had Dar.
Zlijikuta ameangukia Oysterbay polisi, alichofanywa haifai kuongea.
Jf iache Hannah mwanangu, tubaki tukifurahi tu
We nawe yalishapita acha kufukua makaburi ππππ€£π€£π€£
Amen boss πYaishe mkuu[emoji119]
Nacheka kama mazuri vileee khakhakhaaaa π€£π€£!Nilikuwepo
Unavyochambwa nilikuwepo nashuhudia mtu anavyotoka povu Kwa hela aliyoamua kutoa Kwa hiari yake.
Mimi hadi Uzi unafungwa nilikuwepo,, si ndio nilianza kugombana na mods Kwa kunipa ban [emoji38]
Babu ulituahidi ulisi na Kantry πππAmen boss π
Karibu tunywe Mbege, leo nimeiotea kwa Mama Manka π₯
Yaniii Kantr hana simileer lol!Namuona anaanza kuyatinganya πππ
Atuachie grahms wetu, wenzie tunamtania wajukuu zake
Kabisa uduguuu!Humu haitakiwi kufall love na mtu humjui adui yako πππ
Na mazoea ya nje ya jf ya kuogopa sana, watu hawatabiriki ooh!!
π€£π€£π€£ acha nile mbuyu kwanza unajua nilikuwa na siku kadhaa sijaingia selfika mpaka hekaheka iliyopelekea uzi kufungwa, leo ndio naanza kuelewa yaliyojiriWe nawe yalishapita acha kufukua makaburi πππ
HakikaNdoivo babuu wee nyani mzee ushakwepa mishale mingi hili lisikuumize kichwa kabisa babuu !
πππ Ile namba tasa haigawanyikiYaniii Kantr hana simileer lol!
Mod mpumbavu sana yule,Ile siku mpk uzi kufungwa chanzo kumchamba modes na ngunyani zenu nakumbuka vzr [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza zilitembea ban afu baadae tukatolewa tulivyorudi mode akawa anafuta picha na comments mkaanza kumchachua
Akifuta nyie mnaweka tena, mara mumuite Mello na modes wake
Wakaona isiwe shida wakaufunga [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kuna watu wanajipa ujiko wali report kumbe hata haikuwa hivo
Nilihaidi nini Mjukuu?Babu ulituahidi ulisi na Kantry πππ
Kukaa kwa password humuKabisa uduguuu!
Oyaa sio poa π€£π€£π€£πππ Selfika ilikuwa ya moto
Babu kweli umezeeka πππNilihaidi nini Mjukuu?
Babu yenu nimezeeka mjue, hivyo napoteza kumbukumbu