Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Humu haitakiwi kufall love na mtu humjui adui yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na mazoea ya nje ya jf ya kuogopa sana, watu hawatabiriki ooh!!
 
Nilikuwepo
Unavyochambwa nilikuwepo nashuhudia mtu anavyotoka povu Kwa hela aliyoamua kutoa Kwa hiari yake.

Mimi hadi Uzi unafungwa nilikuwepo,, si ndio nilianza kugombana na mods Kwa kunipa ban [emoji38]
Nacheka kama mazuri vileee khakhakhaaaa 🀣🀣!
Na vocha za aftatu na kutoka na babuu nyieeee!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jf usiamini kila kinachoandikwa humu ! Tena vocha niliomba kwa mwanamke mwenzangu sijui hizo habari alizipata wapi hahaa!!
 
Mod mpumbavu sana yule,
Picha zetu za ngunyani zilimkosea Nini?

Akaanza kufuta chats zetu kisa ujinga wa watu wachache waliokosa uvumilivu baada ya kuanza kuwekeana mafile..Kwa mara ya kwanza toka najiunga jf nikapigwa ban ile siku.
Sema kivumbi kiliendelea nyuzi nyingine
Mtanange Sema hawakumaliza bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Freeee watuma mafile
Njoeni mmalizie.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…