Ile siku nilicheka 😂😂😂Mod mpumbavu sana yule,
Picha zenu za ngunyani zilimkosea Nini?
Akaanza kufuta chats zetu kisa ujinga wa watu wachache waliokosa uvumilivu baada ya kuanza kuwekeana mafile..Kwa mara ya kwanza toka najiunga jf nikapigwa ban ile siku.
Sema kivumbi kiliendelea nyuzi nyingine
Mtanange Sema hawakumaliza bwana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Freeee watuma mafile
Njoeni mmalizie.
Hannah nipo jf yapata miaka 10 rafiki yangu.
Nimeumizwa mnoo na nimefurahia pia.
Jf ni hatari kuliko hatari yenyewe.
Kuna jamaa alimuumiza mtu humu...
Jamaa alikaa kimya miaka mingi alichofanya alitafuta demu machachari sana, huyu demu wakaanza kuchat na mtuhumiwa na mapenzi mototo yakaanza.
Jamaa alivutwa kutoma msoma had Dar.
Zlijikuta ameangukia Oysterbay polisi, alichofanywa haifai kuongea.
Jf iache Hannah mwanangu, tubaki tukifurahi tu
Oooh Lord, tafadhali mshtue, hiyo sio sawa.Ndio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Bora umenikumbushaBabu kweli umezeeka 😂😂😂
Hukusema nije unipe mashamba ya kulima na bibi atatupikia kuku? Ukasisitiza nije na mjukuu wako kantry?
Au umehonga kwa vigori yameisha?
Huyo figo part 2 ni nani, walikufanya nini mpaka huwasamehi?Mr mitraako mabakuli na shogaake Figo part 2
Me nachangamsha genge hao wote mabest zangu sema tunazinguanaga ile kawaida sanaHuyo figo part 2 ni nani, walikufanya nini mpaka huwasamehi?
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Nimefanya juhudi kusoma kuanzia mwanzo hadi hapa, inaonekana kuna Wazee wa aina mbili humu wametajwa.
Bahati mbaya huyo mwingine sijamjua.............ila huyo mwingine ni kama anataka kufananishwa na Mimi.
Inaonekana kuna watu humu wanajaribu kunihusisha na hao wazee wengine wa hovyo ili wapate ya kusema.
Bahati nzuri kwa umri wangu siwezi hata kwa bahati mbaya kutembea na binti yeyote humu. Sio leo wala kesho, sina huo mpango.
Inakuwa ni aibu kwa mtu mzima kumvulia nguo binti mdogo, binafsi sijazoea labda hao wazee wengine wasiojiheshimu.
Kama kuna binti ana uhakika amewahi kulala na Mimi au hata kuonana na mimi aseme hapa, nina zawadi yake ya dollar 35 nimtumie chap saivi.
Wazee wengine tumezoea utani na kufurahi, naomba nisihusishwe na hayo yanayoendelea.
Cheers 🍻
Jamani, kwamba watu wanabeba mambo mazito namna hiyo? Huwa wakifanya hivyo wanatafuta nini?Ndio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Oooh Lord, tafadhali mshtue, hiyo sio sawa.
Nisikilize Hannah, mimi mtu akinikosea najijua ni mkorofi na ukiniudhi sana naweza kukufuatilia hata miaka 10 nikuadhibu...LAKINI sipendi kudhalilisha mtu.
Hasa kudhalilisha mwanamke sio sawa hata kidogo.
Humu mimi kuna binti aliniudhi sana...uwezo wa kumchafua hadi akimbie mtaa ninao 100% but nimejiapiza sitofanya hivyo haisaidii.
Msaidie mwanamke mwenzio usione aibu hata yakikugeuka lakini nia yako njema Mungu atakusaidia
Nisome vizuri...fanya kwa upande wako uwe na amani, mibongo ni bure unaweza kumshitua lkn yakienda kubadilishana mbegu...akasema eti Hannah alisema vile...siku likiumizwa linakukumbuka.Haki tena mimi nitamwambia. Japo wakati mwingine unaweza kumwambia mtu akakuona mchawi ila nitamwambia.
Dohh!! Ni Hatari sana hiiNdio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Ila huo ni utoto uliopitilizaJamani, kwamba watu wanabeba mambo mazito namna hiyo? Huwa wakifanya hivyo wanatafuta nini?
🙏🙏🙏🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
Yaani ile siku nilikasirikaIle siku nilicheka 😂😂😂
Lamomy cocastic Tayana-wog Missy Gf Joannah na wadada wengine tuwe makini wapendwa!!Ndio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.
Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.
Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .
Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.
Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Kwanza mbona Mjep anatutumia vocha kila siku na halalamiki.Nacheka kama mazuri vileee khakhakhaaaa 🤣🤣!
Na vocha za aftatu na kutoka na babuu nyieeee!😂😂😂
Jf usiamini kila kinachoandikwa humu ! Tena vocha niliomba kwa mwanamke mwenzangu sijui hizo habari alizipata wapi hahaa!!
Unajua pdf zilivyoanza kushushwa watu walianza kulia na kuomboleza Kwa mods wafute Uzi🤣🤣🤣Ile siku mpk uzi kufungwa chanzo kumchamba modes na ngunyani zenu nakumbuka vzr 😂😂😂
Kwanza zilitembea ban afu baadae tukatolewa tulivyorudi mode akawa anafuta picha na comments mkaanza kumchachua
Akifuta nyie mnaweka tena, mara mumuite Mello na modes wake
Wakaona isiwe shida wakaufunga 😂😂😂
Ila kuna watu wanajipa ujiko wali report kumbe hata haikuwa hivo
Watu kwa sifa utawaweza??? Kama alivokua anatamba kuwala wewe na mama pasta humu Nilivosikia nilichekajee nikasema maombi yalikua yanaenda na dawa hahaha Jf usiamini kila unalosikia kiukweli!Kwanza mbona Mjep anatutumia vocha kila siku na halalamiki.
Mimi nilivyoona vocha zinatumwa Kwa sifa siku zile tena nilikuwa busy zikanipita... Nikawaza hivi vocha kweli ni sadaka kama anavyofanya Mjep ana Kuna kitu.
Mtu anaanza kulialia kisa alikupa hela aiseee😂🤣ni mambo ya ajabu .
Huko pm ni kuwa makini napo, binafsi mtu akija na swagger za A kasema B anafanyana C nakuwa makini.Ila huo ni utoto uliopitiliza
Hata kama itokee uniudhi kiasi gani siwezi kufanya unyama wa namna hiyo.
Kitendo cha kuonesha tupu ya mwenzio inaonesha hujakomaa kiakili.