Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Watu kwa sifa utawaweza??? Kama alivokua anatamba kuwala wewe na mama pasta humu Nilivosikia nilichekajee nikasema maombi yalikua yanaenda na dawa hahaha Jf usiamini kila unalosikia kiukweli!

Vocha zilikua zinarushwa hadi za laki moja mbona!
Hatari sana😂😂😂😂😂
Sisi tulikuwa tunamtafuta aliyetunga stori maana haiingii akilini mtu from no where hawajui ,aanze kuwatungia uongo.

Nashangaa hapa naambiwa ni yeye mwenye 🤣
Siamini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…