Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hatari sana😂😂😂😂😂Watu kwa sifa utawaweza??? Kama alivokua anatamba kuwala wewe na mama pasta humu Nilivosikia nilichekajee nikasema maombi yalikua yanaenda na dawa hahaha Jf usiamini kila unalosikia kiukweli!
Vocha zilikua zinarushwa hadi za laki moja mbona!
Babu wanaomzungumzia hapa ni nani?Hatari sana😂😂😂😂😂
Sisi tulikuwa tunamtafuta aliyetunga stori maana haiingii akilini mtu from no where hawajui ,aanze kuwatungia uongo.
Nashangaa hapa naambiwa ni yeye mwenye 🤣
Siamini.
AiseeeBabu wanaomzungumzia hapa ni nani?
Naomba nitajie hata kwa code jamani😂
Nimeshindwa kuelewa tangu kule selfika mpaka mada iliisha na imeanzishwa tena naona sielewiAiseee
Dear,
Wewe umbea siyo kipaji chako😂😂😂😂
Hahahaha,eeh bana,si kwa nia mbaya RafikiHee
Mtu chake imebadili jina?[emoji1787]
Mwanzo ilikuwa jina gani?Hee
Mtu chake imebadili jina?[emoji1787]
HahahahaMwanzo ilikuwa jina gani?
Hebu niambieHahahaha
Najua vizuri tu hili[emoji23]Hii ndio jf ilivo!
Jf Usiamini miandiko ya watu humu wengine unafiki mtupu!
[emoji23][emoji23][emoji23]Tena wewe ndo umechangia selfika kufa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila selfika ni zaidi ya series mule kulikua na visa vingi, kwanza mimi na wewe tyr tunapata episodes km 100 hivi bado Antonnia na miongozo na wake wenza wake afu babu ndio KUBWA LA MAADUI anakuja kupigwa na Rabbitus yule wa demu wa sate sauzand [emoji23][emoji23][emoji23]
Akija coca na Mjep na wale wake wenza wenzie wanawake toleo jipya awwww hatareeee!! Bado wengine wengine
Nyie tutapiga pesa kweli mjue, hizi pesa zinapotea [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣We Kweli sio mbea.Mwanzo ilikuwa jina gani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nacheka kama mazuri vileee khakhakhaaaa [emoji1787][emoji1787]!
Na vocha za aftatu na kutoka na babuu nyieeee![emoji23][emoji23][emoji23]
Jf usiamini kila kinachoandikwa humu ! Tena vocha niliomba kwa mwanamke mwenzangu sijui hizo habari alizipata wapi hahaa!!
Ulisi[emoji23]Babu ulituahidi ulisi na Kantry [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kweli😂🤣🤣🤣We Kweli sio mbea.
WasikutisheKwa kweli😂
Watu huwa hawaelewi mpaka liwakute jamboHuyo dada yeye acheke naye ila asijiroge akatoa mawasiliano yake
Itakuwa hivyo mkuu, sasa kama nahitaji info zako na najua una ukaribu na A, nitakuja kwako kukuulizia...ndipo matatizo yanapoanzia.Ina maana anakuja tu direct kuanza kushusha story za A,B,C ?
Dah, mimi tuchat ,mazoea ya ukaribu hapanaI
Itakuwa hivyo mkuu, sasa kama nahitaji info zako na najua una ukaribu na A, nitakuja kwako kukuulizia...ndipo matatizo yanapoanzia.
Pipo zipo serious na virtual life.