Kumbe kulikua na mazito hivi nyieeee!!!πππππππUnajua mnaweza kurahisisha tu eti yashapita.
Kumbuka watu wanaotema nyongo walikuwa kimya...
HS alikuwa kimya, na hizo vuguvugu zinazidi kuendelea...
Dada na heshima zake anazidi kuchafuliwa atakaaje kimya?
Mshawahi kuwaza wengine Wana mahusiano humu..
Mtu wako anakuja kuona fedheha hizi
Na mtu umekaa kimya tu
Nyie acheni kabisa[emoji23]
Km wangoni, uvumilivu tumezaliwa naoMe hadi walishachoka [emoji23][emoji23][emoji23]
Wakinga sie tuna roho za paka hatuyumbishwi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa!!Adui usimuogope
Me nawakanda mpk wanakuja na id mpya, nazo wakija nazo nawapiga spana wanakimbilia kunireport kwa modes
Ss nataka niongee na Mello niikatie bima id yangu isiwe inasumbuliwa na ban [emoji23][emoji23][emoji23]
Haha nilikaonaaa ! Leo Mamelodi wamejua kumkomesha mwaarabuuu shenzao!Simba hachezi leo, leo nilikua namuangalia crush wangu Shalulile wa sundowns, afu katupia bao kaliiii.
Mfupi wa uno kuuteka mtima wa coca. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanasubiri tufe etiππππKumbe kulikua na mazito hivi nyieeee!!!πππππππ
Ckuwahi mtumia mtu, nilivokua nakuheshimu,Wee sema kweli?
Aisee huwa naonana na wana-Jf; ila huwa tunawasiliana kwenye simu ndiyo tunatukana. Sijawahi kukutana na mtu kupitia comments.
Afu coca na wewe; hilo pdf hakuna watu/ mtu ulim-forwadia; atafute kwenye convo huko mnitumie wajameni?
Naona victims ni wengi humu! Kweli humu usishadadie usiyoyajua! Yani ya kuyasukia tu bila kuwa na uhakika wa unachokishupalia!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii niumie kwa JF kwelii? Naumia km baba tamuu akininyimaa mkunyengee.
Yaan akiumwaa nakua mpoleee, namuambia " bas tufanye pole polee"
Woiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tatizo JF Adui yako ndo rafik wa udugu ako. Bas tafraniiMimi nasikitika bosiledi
Nimefuta undugu na wewe na coca; sio kwa kuenjoy huko Pdf langu kimyakimya.
Nimeshtukajee hapo mi nilikua najua ya kutoka nae tu hio ya picha itakua nilipitwa uwiii kweli selfika kilikua na mabalaa mazito!!πππWatu wanasubiri tufe etiππππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mitoto ya kiume mimbeaa siku hizi wallah, jamani
Watu wamekaa wanamjadili mama pastaNimeshtukajee hapo mi nilikua najua ya kutoka nae tu hio ya picha itakua nilipitwa uwiii kweli selfika kilikua na mabalaa mazito!!πππ
Hebu sema kweliiiNimefanya juhudi kusoma kuanzia mwanzo hadi hapa, inaonekana kuna Wazee wa aina mbili humu wametajwa.
Bahati mbaya huyo mwingine sijamjua.............ila huyo mwingine ni kama anataka kufananishwa na Mimi.
Inaonekana kuna watu humu wanajaribu kunihusisha na hao wazee wengine wa hovyo ili wapate ya kusema.
Bahati nzuri kwa umri wangu siwezi hata kwa bahati mbaya kutembea na binti yeyote humu. Sio leo wala kesho, sina huo mpango.
Inakuwa ni aibu kwa mtu mzima kumvulia nguo binti mdogo, binafsi sijazoea labda hao wazee wengine wasiojiheshimu.
Kama kuna binti ana uhakika amewahi kulala na Mimi au hata kuonana na mimi aseme hapa, nina zawadi yake ya dollar 35 nimtumie chap saivi.
Wazee wengine tumezoea utani na kufurahi, naomba nisihusishwe na hayo yanayoendelea.
Cheers [emoji482]
Acha uogaa weyeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umeujua mchezo wa huku vizuri.
Jf ukiwa na roho nyepesi au unajua kuna kapoint wakikupatia watakuumiza sana inabidi ukae kimya hata usilike mtu akichambwa.
Na mnajua kunyumbulikaKm wangoni, uvumilivu tumezaliwa nao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mpdf wako ndo ulikua deep hivo mama pasta hakii leo ndo nimejua Kwanini uliipotezea mazima selfika π!!Mimi nasikitika bosiledi
Nimefuta undugu na wewe na coca; sio kwa kuenjoy huko Pdf langu kimyakimya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu unayawezaa weyeee, khaaahSelfika nilikuwa sipafatilii ila kuna siku nilikuwa namtafuta coca ndo nikaibukia huko
Nilivyofika wee nikaona watu oyaa oyaa full mavibe, mara coca anitambulishe shemeji yangu!
Sijakaa sawa naambiwa chagua mume khaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Namna gani tena? Mara vocha za gombania zinamwagwa watu wanakanyagana kuwahi
Mara naona watu wanatupia foto, nikaona mambo si ndo haya sasa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nikaweka kambi niwasome, nilivyoona humu wanachekeana kwenye maandishi moyoni kila mtu kamshikia mwenzie panga nikaona jau
Kuchunguza vizuri kumbe humo ndani wako wake wenza tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu wanaogopana kupeana makavu
Ghafla akaibuka babu na mabakuli na figo 2
Nao wana crew yao aiseee!!!
Sema tutengeneza series watu wangu tungeuza kinoma, emu tufanyeni jambo ujue kuna visa vingi sana mule tutapiga pesa ndefu wanaselfika
Mkinga na pesa sasa [emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwepo
Unavyochambwa nilikuwepo nashuhudia mtu anavyotoka povu Kwa hela aliyoamua kutoa Kwa hiari yake.
Mimi hadi Uzi unafungwa nilikuwepo,, si ndio nilianza kugombana na mods Kwa kunipa ban [emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee Mjep hana mke zaid yangu.Tena wewe ndo umechangia selfika kufa [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila selfika ni zaidi ya series mule kulikua na visa vingi, kwanza mimi na wewe tyr tunapata episodes km 100 hivi bado Antonnia na miongozo na wake wenza wake afu babu ndio KUBWA LA MAADUI anakuja kupigwa na Rabbitus yule wa demu wa sate sauzand [emoji23][emoji23][emoji23]
Akija coca na Mjep na wale wake wenza wenzie wanawake toleo jipya awwww hatareeee!! Bado wengine wengine
Nyie tutapiga pesa kweli mjue, hizi pesa zinapotea [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe na yeye pia yasemekana wote mlipitiwa nikabaki kusema kweli si kila asemae bwana bwana ataiona mbingu hadi hawa kweli??? Tena wote wawili jf nyieee, πππππ!Watu wamekaa wanamjadili mama pasta
Wanamnanga kwa picha ambayo hata siyo yake.
Kubwa zaidi wanasubiri tufeπ
Wajinga,,junia wangu watamlea wao?π€£