Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeuliza au ndo unataka ubishe Sasa..[emoji28]
Ila kweli jasiri haachi asili.. wewe ndio..[emoji12]
Haahhaha huyo auntie yangu asiniharibie sifa uliyonipaSasa hilo la panya mla vitenge..[emoji1787][emoji1787] imekuwaje dada..?
Hili itabidi tukae kikao..[emoji28]
Hahhahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwambie nayeye anakulaga dokyumenti zako tena mshukuru aliwahi kura ripoti yako ya shule ya msingi ikawa ponapona yako ya kupokea mkate wa bwana..[emoji1787]
Ahhahahah hivi kwa nini hausahau panya mwenzangu yupo busy sana anashindwa hata kuingia hukuYule panya mwenzio kajificha chimbo gani?
Msalimie sana.Ahhahahah hivi kwa nini hausahau panya mwenzangu yupo busy sana anashindwa hata kuingia huku
Zimefika auntie yanguMsalimie sana.
Tena huu ugomvi huwa hauishi jamani sijui kwa niniNgoja niwaachie ugomvi wenu wa familia..[emoji28]
Sababu unaijua vizuri kabisa.Tena huu ugomvi huwa hauishi jamani sijui kwa nini
Eeh sina makuu sababu uliniahidi ile IST new model na hujanipa mpaka leo eeh?? Haya😀😀financial services
Hana makuu[emoji2][emoji2]
Ulikua hupatikani!!!!!!Eeh sina makuu sababu uliniahidi ile IST new model na hujanipa mpaka leo eeh?? Haya[emoji3][emoji3]
Upeleke Voda tena??😀😀 kaongo we ka kaka wewe, hata hujanitafuta, vipi lakini uko poa?Ulikua hupatikani!!!!!!
Nkairudisha yard [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa ningepereka voda???[emoji23][emoji23]
We kadada ulikimbia ulienda wap ,Upeleke Voda tena??[emoji3][emoji3] kaongo we ka kaka wewe, hata hujanitafuta, vipi lakini uko poa?