Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Nataja wengi

Shadeeya
Mdada mstaarabu kama pacha wake hapa [emoji4]

Sanchez magoli
Mvivu sana wa kuchat

chaliifrancisco
Kada mtiifu wa #YNWA anaweza akafa huyu kwa ajili ya team yake

SHIMBA YA BUYENZE
Mstarabu lakini nahisi kama mgomvi huyu

The Monk
Hana maneno mengi

Zoë
Mbishi huyu,akisimamia kitu tena kikiwa kinahusu utetezi wa wanawake anaweza kubishana na JF nzima

Nitaendelea....

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah hivi kumbe mimi ndiyo naonekana mbishi kiasi hiko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ubishi ni nyuma ya keyboard tu dear, in real life mie ni mpole sema tu ndiyo vile sipendi kuonekana mpole naogopa nitaonewa.

aah thubutu 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom