Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Hili kaburi japo limefukuliwa halina madhara.

Mie nshastaafu mambo hayo, vipodozi na Kasinde mbalimbali.

Ngoja nimtafute baba Bataringaya RRONDO nimshawishi safari ya milima ya kaskazini mwa Tanzania (Lushoto to Arusha) mwisho wa mwaka huu...

Sasahivi kuelekea kaskazini December hii iwekwe sheria, kama gari plate number haijaanziwa na E unaishia Msata na Chalinze.

Foleni ipungue kidogo...😅😅
Na sisi washika bomba je?
 
Si uzi wa kutumia akili kubwa ni sehemu ya burudani tu!..
Mtag mtu kisha andika sifa yake moja tu jinsi unavyomfikiria kutokana na vile anavyoitumia I'd yake lkn kwa kufuata sheria za jf isiwe uwanja wa matusi au kurushiana visirani..[emoji28]

Mshana Jr
Mganga mashuhuri..!

Kasie a.k.a matata
Bibi mkorofi kitandani..[emoji28]

Kiranga
Mtu mbishi tu!

Mzee Mwanakijiji
Hekima..

Chizi Maarifa
Jina linajieleza..[emoji28]

Shunie
Mdada mkarimu..

MLEVi Mmoja
Mfano wa waliokuwa wanakula ada shuleni..[emoji23]

GuDume
Mtu anaezeeka vibaya..[emoji28]

Saint Anne
Kondoo wa bwana..

lliedie
Kabinti kapolee..[emoji847]

Depal
Mwenye misimamo lkn tatanishi..[emoji12]

Miss Natafuta
Kamati ya kudang..a[emoji41][emoji85]

Don Nalimison
Mtu mwenye malalamiko[emoji23]

Kiduku Lilo
Ile hela tuma kwenye namba hii..[emoji23]

katoto kazuri
Anajifunza umbea..[emoji28]

Money Penny
Kamati ya michambo na udaku..[emoji125]


List iendelee..
Vipi kuhusu Gentacyme???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom