Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nimesoma Bcom wapiii? Ila shen taratibu mambo yako, mie Ban sitaki sahivii.
[emoji23][emoji23][emoji23] sijui umesoma nn, lakini hiko hiko ulichosoma UD uliona dalili zozote?
 
Wachoyo wa mabuyu yanawasaidia Nini zaidi ya kuchachuka meno,,,mpenzi na dada yenu adambue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahv JF hakuna ubuyuu, chimbo limefungwa, kila aina ya takataka ya JF ilikuamo humo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila JF kibokooo, afu mbna mie cjawahi hata, niamini mie.
🤣🤣🤣🤣Wewe mi nakumbuka picha lote,tena nakumbuka lamomy alimwambia ngoja tumuulize sis joa atoe kibali,akasema Daaah huyo lazima anisagie kunguni....mwali hapo kila nilikuonya huelewiiii,nakwambia huyo mwenzio Hana nauli ya kurudia huku huelewiiii😁😁😁hivi lile penzi liliishia wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ndoa za mitara?
James kaolewa na nani?
Uduguuu nmeona jamaa kaoa bottoms wawili tena siku 1, had picha zipoo, huko Mbagala kizuiani.
Watu ndani ya mavazi ya kihindiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

James aolewe ana nyota au bahati? Yeye na rafiki ake Wema wanatofautiana milango ya kupokea wageni tyuuh.

Kila kitu wako sawaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] sijui umesoma nn, lakini hiko hiko ulichosoma UD uliona dalili zozote?
Kiukweli yeye kwenye taaluma yangu ndo yuko vizuri, na alikua anani insipre sana.
Mengine yametokea accidentally, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata cjui ilikuajee, nkashangaa sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe mi nakumbuka picha lote,tena nakumbuka lamomy alimwambia ngoja tumuulize sis joa atoe kibali,akasema Daaah huyo lazima anisagie kunguni....mwali hapo kila nilikuonya huelewiiii,nakwambia huyo mwenzio Hana nauli ya kurudia huku huelewiiii[emoji16][emoji16][emoji16]hivi lile penzi liliishia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa ile ilikua utaniii, sio serious kabisaa.
Nimekumbuka ile siku.
 
Sisi ni jeshiii hapa akili ya shemeji yangu vile hapindishagi mambo tukimix na yangu huyo anayetaka kutusuta ajipange[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] humu tatizo wengi hujimaliz akabisa bila kujua kuna kesho

Sasa huyo national antem hawezi kuja kuanza kulalamika maana amejimaliza sehemu nyingi sana, atakimbia yeye tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom