Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Km kwa mie nisidanganye, couz yuko vizuri kwenye taaluma yangu na pia alini aminisha sana.

Kikichokuja kutokea after varangati lile, na kila kitu kiliharibika.

Ndo nilipo kuja kujua kumbe ni muongo na huwa ana danganya wadada wengi humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha wewe
Mainjiniaaaaa

Uliambiwa utaweka kazi kwenye kampuni yake ya engineering ama una jipya gani Coa wetu😂
 
Wacha wewe
Mainjiniaaaaa

Uliambiwa utaweka kazi kwenye kampuni yake ya engineering ama una jipya gani Coa wetu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] aliniambia atanifanyia mchongo sehem kubwa, na aliniaminisha kabisa, na niliona ukweli.
Mbna kuna siku kuna PDF LA kazi aliniwekea wazi kule selfika, had akasema nichangamkie fursa atanisaidia connections
 
Daaah nani tena anawakosea adabu hivyo tumpeleke kwa mwamposa

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app

Mi Nacheka tu kiukweli kwakua najua si kweli!
Jf kuna watu hawakomenti komenti unaeza sema ni malaika aloooo kuja ambiwa mambo yao 🙌🙌🙌🙌🙌!

Ndiomana najiachia kwaraha Zanguuuu na hata zile picha nilikua natuma selfika sehemu ya wazi ambayo najua kila mtu anaona!
 
Mi Nacheka tu kiukweli kwakua najua si kweli!
Jf kuna watu hawakomenti komenti unaeza sema ni malaika aloooo kuja ambiwa mambo yao [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]!

Ndiomana najiachia kwaraha Zanguuuu na hata zile picha nilikua natuma selfika sehemu ya wazi ambayo najua kila mtu anaona!
Ndivyo walivyo wanadamu wazoee tu na usonge mbele

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom