Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Nikalale mimi naona ban zinanukia humu🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️🚶🏻‍♀️😴😴😴😴😴😴💤💤💤😴
 
Ndio hivyo huku usipokuwa makini utaumizwa sana.

Juzi juzi hapo kuna mtu tumezoeana kawaida ananisalimiaga PM. Hiyo siku akaja akaniomba kama nina info za mdada mmoja humu. Nikamuuliza ni nini akanipa mkasa mzima. Sasa na yeye anachotaka ni adate naye halafu ampige picha za nyuchi kisha atafute namna ya kumdhalilisha. Mimi nikamwambia sina na ni kweli sina maana mimi huwa sihangaiki kumjua mtu yeyote humu. Na hata ningemjua mimi huwa sinaga bifu ya kudumu na mtu hadi nimfanyie hivo. Mimi tukipishana tukichambana yanaisha kesho yake nipo fresh labda yeye aamue kuyabeba.

Sasa huyu mtu ana ID mbili na ninajua atasoma hapa. Akatumia ID yake nyingine ambayo nayo ipo active ndio akatumia kumtafuta huyu dada. Mimi nawaona tu Kwenye Post wanachat mavibe kama yote hadi natamani nimtonye kwamba anachat na adui. Na anaandaliwa mtego tu. Ila nitamwambia tu .

Hii ilishanitokea mimi pia. Kuna mwanaume nilimdabua humu kisawasawa[emoji23][emoji23]. Kumbe kayabeba bhana. Sasa si akatumia ID yake nyingine kunifuata? Ananisalimia PM na ananiambia ni namna gani anavutiwa na michango yangu kumbe anani seti.

Sasa siku tukachat chat kwenye majukwaa kuna mtu akaja kuniambia hivi unajua fulani ndio yule yule uliyemtukana juzi juzi[emoji23][emoji23]. Nikasema kuuuumbe sasa na mimi nikawa nimejua naenda naye namna anavyotaka tuende. Hadi akaja akajua kwamba nimemshtukia.
Nimechekaa, kuna mtu ana ID 3, kumbe nia yake akutane na mie ili aje awape uthibitisho watu humu,

Uzuri mie mfukunyukuu nkamgundua mapema nkamchora tyuuh, yaan alivyokua ananisett woiiiih, sasa siku akaanza kunisemea mbovu jukwaani,

Nilimchana akome, tena asinifate na id zake zote nazijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akanifata PM akasem km kweli najua I'd take nitajee, nkamtajia akabaki eti kunambia bahati yako ndo ilikua nakumaliza kabisaa. Na acc ake ingne ilishawahi nipa 20k

JF Full tafraniii.
 
Nope inawezekana kabisa mtu akakutungia story na hakufahamu kabisa. Kwani kaka ako ananijua mimi nje ya JF?

At first nilivyosikia hiyo story niliipotezea; as I thought labda tu watu wanaconnect dots based na matani ya jukwaani; although nilikwambia kwamba inawezekana akawa yeye kwa sababu excuse niliyompa ya kutokuonana naye; ndiyo exactly excuse alivyokuwa anaisemea yule informer wa hii story; kwamba informer anasema ameshindwa kuonana na mimi kwa sababu ya excuse "A". Mind you sijawahi kuwasiliana PM na huyo informer; hiyo excuse yeye aliijuaje? Na ukamtetea ndugu yako kwamba hawezi fanya hivyo hadi nika-ignore. Nikasema ila kweli; nisihukumu mtu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

2. Ile time amepost uzi sijui wanawake anaolala nao wanakufa; kama kawaida nikaleletewa pdf zangu kama na mimi ni mmoja wa victims wake; I never confronted mtu yeyote aliyesambaza hilo pdf; wapo na humu kwenye comments wanajijua na miungu yao. Bado na screenshots za wapambe sasa "mama Mchungaji kwisha habari yake; sijui burihani mama Mchungaji". Mtakufa nyinyi na vizazi vyenu kabla yangu IJN.
Hawa wote wasambazaji, hakuna ninayefahamiana naye personal; sasa sijui hizo story na wao waliambiwa au ndiyo kuconnect dots. I ignored it too


3. Siku hiyo tena brother big kapost kapicha ka mdada amevaa skirt ya marinda na skuna sijui akasema ni binti yake anashinda tu kanisani blah blah blah. Eeh kama kawaida shots zikanijia "jamani mnaona baba pasta mahaba yamemshinda kaamua kumpost mama Mchungaji, si alisema hawajuani huyu, si kaolewa huyu, si lelelelelee; mara "huyu ni mama Mchungaji tu hata akikataa". Teh hao wote hakuna anayenifahamu kati yao, hadi wawe na uhakika kwamba yule ni mimi kweli. Afu mbaya zaidi ni wababa na heshima zao; na hata hatufahamiani maskini; na bila zile shots ningekataa katukatu kwamba ni wao wananisambaza; Mungu anawaona. Ndiyo ikanibidi sasa, nikaombe ile picha, alhamdulillah nikaipata full yake sasa; nikaishia tu kusikitika. Baadhi ya wababa wa humu; aaaaaaaaaaaaaaaaah; punguzeni unywanywa jamani; hauwapendezi na heshima zenu jamani; tuachieni wanawake hizo mambo.

Sasa Leo Coca kusema alipata shots za brother big akisema amekutana na mimi na kunikula; ndiyo zikanishtua. kwamba does it mean source ya mambo yote haya ni huyuhuyu mtu ilhali siku zote tunamtafuta mchawi?
cocastic do the needful please.[emoji120][emoji120]
Hakuna mwingine ni huyo huyo
 
Nope inawezekana kabisa mtu akakutungia story na hakufahamu kabisa. Kwani kaka ako ananijua mimi nje ya JF?

At first nilivyosikia hiyo story niliipotezea; as I thought labda tu watu wanaconnect dots based na matani ya jukwaani; although nilikwambia kwamba inawezekana akawa yeye kwa sababu excuse niliyompa ya kutokuonana naye; ndiyo exactly excuse alivyokuwa anaisemea yule informer wa hii story; kwamba informer anasema ameshindwa kuonana na mimi kwa sababu ya excuse "A". Mind you sijawahi kuwasiliana PM na huyo informer; hiyo excuse yeye aliijuaje? Na ukamtetea ndugu yako kwamba hawezi fanya hivyo hadi nika-ignore. Nikasema ila kweli; nisihukumu mtu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

2. Ile time amepost uzi sijui wanawake anaolala nao wanakufa; kama kawaida nikaleletewa pdf zangu kama na mimi ni mmoja wa victims wake; I never confronted mtu yeyote aliyesambaza hilo pdf; wapo na humu kwenye comments wanajijua na miungu yao. Bado na screenshots za wapambe sasa "mama Mchungaji kwisha habari yake; sijui burihani mama Mchungaji". Mtakufa nyinyi na vizazi vyenu kabla yangu IJN.
Hawa wote wasambazaji, hakuna ninayefahamiana naye personal; sasa sijui hizo story na wao waliambiwa au ndiyo kuconnect dots. I ignored it too


3. Siku hiyo tena brother big kapost kapicha ka mdada amevaa skirt ya marinda na skuna sijui akasema ni binti yake anashinda tu kanisani blah blah blah. Eeh kama kawaida shots zikanijia "jamani mnaona baba pasta mahaba yamemshinda kaamua kumpost mama Mchungaji, si alisema hawajuani huyu, si kaolewa huyu, si lelelelelee; mara "huyu ni mama Mchungaji tu hata akikataa". Teh hao wote hakuna anayenifahamu kati yao, hadi wawe na uhakika kwamba yule ni mimi kweli. Afu mbaya zaidi ni wababa na heshima zao; na hata hatufahamiani maskini; na bila zile shots ningekataa katukatu kwamba ni wao wananisambaza; Mungu anawaona. Ndiyo ikanibidi sasa, nikaombe ile picha, alhamdulillah nikaipata full yake sasa; nikaishia tu kusikitika. Baadhi ya wababa wa humu; aaaaaaaaaaaaaaaaah; punguzeni unywanywa jamani; hauwapendezi na heshima zenu jamani; tuachieni wanawake hizo mambo.

Sasa Leo Coca kusema alipata shots za brother big akisema amekutana na mimi na kunikula; ndiyo zikanishtua. kwamba does it mean source ya mambo yote haya ni huyuhuyu mtu ilhali siku zote tunamtafuta mchawi?
cocastic do the needful please.[emoji120][emoji120]
🙇‍♂️
 
Nivile unasikia unatulia usisababishe ugomvi nawatu yakwangi yana hekaheka ya wengine ntayaweza dear ??? ila hayo ya picha nilikua sijayasikia kumbe Ndiomana Mama pasta alipotea mazima ! Jf hii🙌🙌🙌🙌🙌
Hapana; nilikuwa tu na mambo yangu ya msingi yakanipoteza. Mimi ni mnyaki org; Nina roho ngumuuuuuuuuuuu
 
Usione watu wanakimbia ID zao[emoji23][emoji23]wanafungua mpya. Wameshapigwa matukio sasa hana ujanja tena.

Mtu anakutongoza mnakuwa wapenzi kabisaa kumbe yeye yupo kwenye mission. Mnakutana mnafanya yenu mnajiachiiia halafu anakwambia unakumbuka ulinitukanaga kwenye ID yangu fulani? Hapo ndio unajua haya yote kumbe yalikuwa fake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie sikimbii I'd angu wallah.
 
Nimechekaa, kuna mtu ana ID 3, kumbe nia yake akutane na mie ili aje awape uthibitisho watu humu,

Uzuri mie mfukunyukuu nkamgundua mapema nkamchora tyuuh, yaan alivyokua ananisett woiiiih, sasa siku akaanza kunisemea mbovu jukwaani,

Nilimchana akome, tena asinifate na id zake zote nazijua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akanifata PM akasem km kweli najua I'd take nitajee, nkamtajia akabaki eti kunambia bahati yako ndo ilikua nakumaliza kabisaa. Na acc ake ingne ilishawahi nipa 20k

JF Full tafraniii.
Mtaje

Kwa nn mnaficha ficha sana?
 
Nope inawezekana kabisa mtu akakutungia story na hakufahamu kabisa. Kwani kaka ako ananijua mimi nje ya JF?

At first nilivyosikia hiyo story niliipotezea; as I thought labda tu watu wanaconnect dots based na matani ya jukwaani; although nilikwambia kwamba inawezekana akawa yeye kwa sababu excuse niliyompa ya kutokuonana naye; ndiyo exactly excuse alivyokuwa anaisemea yule informer wa hii story; kwamba informer anasema ameshindwa kuonana na mimi kwa sababu ya excuse "A". Mind you sijawahi kuwasiliana PM na huyo informer; hiyo excuse yeye aliijuaje? Na ukamtetea ndugu yako kwamba hawezi fanya hivyo hadi nika-ignore. Nikasema ila kweli; nisihukumu mtu bila kuwa na ushahidi wa kutosha.

2. Ile time amepost uzi sijui wanawake anaolala nao wanakufa; kama kawaida nikaleletewa pdf zangu kama na mimi ni mmoja wa victims wake; I never confronted mtu yeyote aliyesambaza hilo pdf; wapo na humu kwenye comments wanajijua na miungu yao. Bado na screenshots za wapambe sasa "mama Mchungaji kwisha habari yake; sijui burihani mama Mchungaji". Mtakufa nyinyi na vizazi vyenu kabla yangu IJN.
Hawa wote wasambazaji, hakuna ninayefahamiana naye personal; sasa sijui hizo story na wao waliambiwa au ndiyo kuconnect dots. I ignored it too


3. Siku hiyo tena brother big kapost kapicha ka mdada amevaa skirt ya marinda na skuna sijui akasema ni binti yake anashinda tu kanisani blah blah blah. Eeh kama kawaida shots zikanijia "jamani mnaona baba pasta mahaba yamemshinda kaamua kumpost mama Mchungaji, si alisema hawajuani huyu, si kaolewa huyu, si lelelelelee; mara "huyu ni mama Mchungaji tu hata akikataa". Teh hao wote hakuna anayenifahamu kati yao, hadi wawe na uhakika kwamba yule ni mimi kweli. Afu mbaya zaidi ni wababa na heshima zao; na hata hatufahamiani maskini; na bila zile shots ningekataa katukatu kwamba ni wao wananisambaza; Mungu anawaona. Ndiyo ikanibidi sasa, nikaombe ile picha, alhamdulillah nikaipata full yake sasa; nikaishia tu kusikitika. Baadhi ya wababa wa humu; aaaaaaaaaaaaaaaaah; punguzeni unywanywa jamani; hauwapendezi na heshima zenu jamani; tuachieni wanawake hizo mambo.

Sasa Leo Coca kusema alipata shots za brother big akisema amekutana na mimi na kunikula; ndiyo zikanishtua. kwamba does it mean source ya mambo yote haya ni huyuhuyu mtu ilhali siku zote tunamtafuta mchawi?
cocastic do the needful please.[emoji120][emoji120]
Mbna mabwakuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom