Tag na weka sifa yake moja tu...

Tag na weka sifa yake moja tu...

Status
Not open for further replies.
Unajua mnaweza kurahisisha tu eti yashapita.

Kumbuka watu wanaotema nyongo walikuwa kimya...

HS alikuwa kimya, na hizo vuguvugu zinazidi kuendelea...
Dada na heshima zake anazidi kuchafuliwa atakaaje kimya?


Mshawahi kuwaza wengine Wana mahusiano humu..
Mtu wako anakuja kuona fedheha hizi
Na mtu umekaa kimya tu

Nyie acheni kabisa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wenye wapenzi humu JF kazi mnayoo.
 
Kuna uzi ulianzishwa[emoji23]
Wa parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa watu wakawa wameorodhesha watu wa kuwaimbia parapanda...
Mimi sikusoma huo Uzi Hadi mwisho.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waliokuwa wanaorodhedha ni kina nani?

Sema yule mzee alikuwa anawachezea sana akili[emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom