Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Emu faini soulimeti...Ooh Amen and thank you my Salimeti, Mungu atulinde sote afu sijakuona mda mrefu ,how are you?
Naona wivu. Me nataka unipende peke yangu.Usiku mwema wapendwa wote katika Bwana, pamoja na wewe mleta uzi, nawapendaπ
Hakuna cha peke yako siku hizi kamanda. We share [emoji16][emoji16][emoji16]Naona wivu. Me nataka unipende peke yangu.
Sawa nimeusambaza kwa wateja wangu na wanaotarajia kuwa wateja wangu.upendo wote wote tumejumuhisha uku mkuu..
Nice to hear that, usiku mwemaEmu faini soulimeti...
Nipo salama kabisa aisee...
Wee Mungu katuagiza upendo kwa watu wote, punguza wivu babaπNaona wivu. Me nataka unipende peke yangu.
Mwambie huyo. Si ajabu sasa hivi yuko njwii [emoji16][emoji16][emoji16]Wee Mungu katuagiza upendo kwa watu wote, punguza wivu baba[emoji3]
Kumbe anatumia kilaji eehππ troublemaker njoo ujibu hapaMwambie huyo. Si ajabu sasa hivi yuko njwii [emoji16][emoji16][emoji16]
Wanasema mwanaume yeyote mchapa kazi, hupata kitulizo baada ya kazi. Aliyekwambia namkutaga pia.πKumbe anatumia kilaji eehππ troublemaker njoo ujibu hapa
Toa hiyo J.H. uweke SYB. Kasie Matata [emoji870][emoji870][emoji870]