Tag umpendaye humu JamiiForums na umtakie usiku mwema


[emoji8][emoji8][emoji8] kasinde
 
Saint Anne
Saint Anne
Saint Anne



Usiku mwema mwanamke ninayekukubali na kukuelewa, sijawahi kukuona sura ila unalugha nzuri kwa kila mmoja humu jukwaani na unamheshimu kila mtu kitu ambacho sijakiona kwa wanawake wengi humu Jamvini.
You are one in a million, nakukubali sana mtumishi wa Bwana na ninakupenda.
Usiku mwema kipenzi @Saint Anne . Sijawahi kukuona, huenda umeshawahiwa na mtu ila jua nakukubali sana
 
Hamna mademu wapya humu?...mbona nmerudi nakuta walewale tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…