Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Aahahahahahaaa
Nachokupendea nikiwa na wewe sili wali mkavu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Na nnavyopenda vilivyokarangizwa sasa [emoji12][emoji12][emoji39][emoji39][emoji39]
The Saturday is on, a location will lead to cheers [emoji1635] [emoji4].
[emoji8][emoji8][emoji8] kasinde
Duuh nashukuru🙏🙏Mama Terry ucku mwema
Hahahaa nimtaje nani kama si wewe babe Keph mwenye "unfulfilled promises [emoji51][emoji51]"
Kumtakia mtu usiku mwema ilete ugomvi? Hamna sidhani..Sasa mbona huyu Saint Anne atagombanisha watu humu
Wewe mbona hutoi?Mmeamua kutoa ya moyoni, halafu haya yatakuwa ya kweli kabisa.
Wapo ila wananata kinomaa..utasema hawaendi toilet, acha tu tupambane na zilipendwa wetuHamna mademu wapya humu?...mbona nmerudi nakuta walewale tu
Kikikikikiki huo usiku mwema kuna heri mkuu?Kumtakia mtu usiku mwema ilete ugomvi? Hamna sidhani..
[emoji52]Wapo ila wananata kinomaa..utasema hawaendi toilet, acha tu tupambane na zilipendwa wetu
Haahaahaha si tunahamia side b....hakiharibiki kitu mkuu