Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7]Usiku mwema Saint Anne , njozi njema ukisinzia..
Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]Saint Anne
Saint Anne
Saint Anne
Usiku mwema mwanamke ninayekukubali na kukuelewa, sijawahi kukuona sura ila unalugha nzuri kwa kila mmoja humu jukwaani na unamheshimu kila mtu kitu ambacho sijakiona kwa wanawake wengi humu Jamvini.
You are one in a million, nakukubali sana mtumishi wa Bwana na ninakupenda.
Usiku mwema kipenzi @Saint Anne . Sijawahi kukuona, huenda umeshawahiwa na mtu ila jua nakukubali sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
[emoji3590][emoji7]Usiku mwema wapendwa wote katika Bwana, pamoja na wewe mleta uzi, nawapenda[emoji7]
Sasa mbona huyu Saint Anne atagombanisha watu humu
Kumtakia mtu usiku mwema ilete ugomvi? Hamna sidhani..
[emoji23][emoji23][emoji23]Kikikikikiki huo usiku mwema kuna heri mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23]nilikuota wewe, sijui hizo ndio za ajabu ajabu!
Kila mtu anajua moyo wangu ulipodondokea.
U.emuoana huyu mtu lakini![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
Yaani nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]U.emuoana huyu mtu lakini!
Shindwaaa!![emoji23][emoji23][emoji23]nilikuota wewe, sijui hizo ndio za ajabu ajabu!
Sasa ujumbe wakeHapa wamesema "tag unpendae", babe kanitag...nimefurahije Espy [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Jf tuna ipende ID fake kama nafsi yako😀😀[emoji23][emoji23][emoji23]
Kutakiana usiku mwema ni Jambo la kheri na ni udhihirisho wa upendo .
Mungu Anasema"mpende jirani yako Kama nafsi yako"
No worries, kikubwa umeona ujumbe.. Hope siku hiyo ulisinzia vizuri..Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7]
Sipati notifications kwa wakati,na siku nikipata notifications nyingi Basi Kuna zingine za mwanzo hazionekani kabisa.
Leo bahati tu napitia tu uzi huu na kukutana na comment hii [emoji8][emoji8]
Nimefurahi sana [emoji3526]
Nakupenda[emoji3590]
BUSH BIN LADEN
Ni kweli nilisinzia vizuriNo worries, kikubwa umeona ujumbe.. Hope siku hiyo ulisinzia vizuri..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jf tuna ipende ID fake kama nafsi yako[emoji3][emoji3]