Tag umpendaye humu JamiiForums na umtakie usiku mwema

Tag umpendaye humu JamiiForums na umtakie usiku mwema

Usiku mwema Saint Anne , njozi njema ukisinzia..
Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7]
Sipati notifications kwa wakati,na siku nikipata notifications nyingi Basi Kuna zingine za mwanzo hazionekani kabisa.

Leo bahati tu napitia tu uzi huu na kukutana na comment hii [emoji8][emoji8]
Nimefurahi sana [emoji3526]
Nakupenda[emoji3590]

BUSH BIN LADEN
 
Saint Anne
Saint Anne
Saint Anne



Usiku mwema mwanamke ninayekukubali na kukuelewa, sijawahi kukuona sura ila unalugha nzuri kwa kila mmoja humu jukwaani na unamheshimu kila mtu kitu ambacho sijakiona kwa wanawake wengi humu Jamvini.
You are one in a million, nakukubali sana mtumishi wa Bwana na ninakupenda.
Usiku mwema kipenzi @Saint Anne . Sijawahi kukuona, huenda umeshawahiwa na mtu ila jua nakukubali sana
Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8]
Akhsanteee Sana

Sipati notifications Jamani,hivi bila kupita kwenye huu Uzi nisingeona hizi jumbe.

Asante Sana
Nakupenda pia rafiki[emoji3590]
 
Oh jamani[emoji7][emoji7][emoji7]
Sipati notifications kwa wakati,na siku nikipata notifications nyingi Basi Kuna zingine za mwanzo hazionekani kabisa.

Leo bahati tu napitia tu uzi huu na kukutana na comment hii [emoji8][emoji8]
Nimefurahi sana [emoji3526]
Nakupenda[emoji3590]

BUSH BIN LADEN
No worries, kikubwa umeona ujumbe.. Hope siku hiyo ulisinzia vizuri..
 
Back
Top Bottom