Tag wahenga wenzako

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] amezingua hyu muhenga VP wewe ushakula tupipi twamviringo tunamistari tumetobolewa kati!!utoke kwenu ukaoe[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Shikamoo muhenga
 
Hizi zinanihusu kabisa Muhenga mm
 
Hahahaha kama uliangalia mechi za akina:
Ronaldo de lima
George weah
Taribo west
Patrick Mboma
Ndief wa cameroon
Nuno Gomez wa ureno
Luis Figo
David Beckham
Ulimboka Mwakingwe
Pawasa
Mohamed Mwameja
Mrisho Ngasa n.k

Na kusikiliza miziki ya kina:
Blue ya Mr blue
Leo Ay
Zeze TID
Fatma, Rah P,Sister P ,Joan, Razia kipozi n.k

Kama uliangalia pia maigizo ya
Mambo hayo
Kaole

Kama uliimba wimbo wa ccm kabla ya kumwamkia mwalimu anapoingia darasani nawe ni mhenga pia

Kipindi cha watoto cha Itv cha Eddy

Kama ulisikiliza mama na mwana , siku ya leo show , majira ,mazungumzo baada ya habari ,maigizo ya kina Jangala, mzee mundu ,mama hambiliki n.k

Kama umeshuhudia yote we ni mhenga daraja la kati
 
hahahahaha hapo kwenye soksi za pundamilia nmevaa sana enzi hzo..
Na kuna nyngne zlikuwa na rangi nyekundu na nyeupe
 
Kama uliwahi kusafiri masafa marefu umevaa sare za shule ili usilipe nauli wewe ni muhenga
 
Kama uliwahi kula ugali wa YANGA wewe uhenga unakuhusu 100%
 
Kama ulisoma gazeti la Mfanyakazi, Moto moto, Dar leo, Alasiri, na kumekucha basi wewe ni muhenga
Mkuu Ahsante kwa KUMBUKIZI. Shukrani MHENGA Mwenzangu

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…