UTAJUAJE KAMA WEWE NI MUHENGA?
1. Kama ulikata daftari mara mbili. Kipande kimoja ukaacha nyumbani na kingine ukaenda nacho shule. Wewe ni muhenga.
2. Kama ulitumia kipande cha kandambili kama ufutio.
3. Kama ulikanyagia kisigino ulipotoka kuoga ili usichafuke kwa kuwa hauna kandambili....Wewe ni muhenga.
4. Kama kwenu mlianika betri za national ili ziongezeke chaji kwenu..... Wewe ni muhenga.
7. Kama uliweka chumvi kwenye uji mweupe ndio ukanywa....Wewe ni muhenga
13.Kama ulivalishwa nepi na sio papmpers.....Wewe ni muhenga
19.Kama ulivaa kandambili mikononi wakati mnacheza mpira wa makaratasi "one touch".....Wewe ni muhenga
20.Kama uliweka kioo chini ya dawati ili uwachungulie wasichana...Wewe ni muhenga
23.Kama uliwahi kutengeneza magari ya waya,mabox na makopo yalioisha KIMBO Wewe ni muhenga
24.Kama uliwahi kucheza ule mchezo wa kifimbo cheza Wewe ni muhenga
27.Kama uliwahi kuvaa ndala za SKY WAY ,NODIN,UMOJA na viatu vya bora Wewe ni muhenga
29.Kama uliwahi kuogea sabuni ya komoa,komesha,mshindi,ilula Wewe ni muhenga
30.Kama uliwahi kutumia TANBOND,KIMBO,,,,Wewe ni muhenga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hebu watag wahenga wenzio uliocheza nao