Bhana weee.Anakuzoom tu
Sintamiliki kiuno chake, bali hisia zake. hapo alipo ananichabo kwa mbaaali huku akisuuzika na mtima wake [emoji12][emoji12]Swala siyo kuolewa swala ni kiuno chake utaweza kukimiliki?
Ndo mana tunawafataga wanaume wa mkoaniLunch ya chipsi mayai
Akha.Aaah aaah ile test ya mayai basi anaona bonge la msosi .
HahhahahahhhahNjoo kwangu mama mi niko huku mkoani tena huo mkoa wanaokulaga ugari wa mtama na mahindi mixer nyama choma .
Dom city..
nilitegemea kuona unauliza na sisi tusio online tuna tag wapi πππ
Misaidie kuwatag hawa.Bila kujari muda tag member yeyote unayemuina yuko Online kwa sasa.
Usisahau kumpa kaujumbe kake mubashara.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]nilitegemea kuona unauliza na sisi tusio online tuna tag wapi [emoji23][emoji23][emoji23]