Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Wezi/majambazi baada yakuona kuna shida kidogo kuingia ndani kutoka na milango yetu na madirisha kuwa imara wameamua kuja na mbinu mbadala kabisa, kiasi kwamba mbinu hii itawafanya kuwarahisishia jamaa kufanikiwa jambo lao.
Wanachokifanya hao wezi/majambazi ni kuruka ukuta kisha wakisha zama wanafungulia maji kutoka kwenye bomba, sasa ukistuka usingizini na kukuta maji yanamwagika ndipo utakapochukua maamuzi ya kufungua mlango na kwenda kufunga bomba, hapo ndipo mtakapoingia wote ndani.
#JAMBO LA KIZINGATIA.
Hakikisheni kwa umakini kabisa kwamba bomba la maji limefungwa, na pindi utakoposikia usiku maji yanamwagika ni bora ukaacha kabisa kutoka nje kwenda kufunga bomba, maaana uwamuzi utakao chukua kwenda kufunga bomba hapo mtaongozana na wazee wa kazi kuingia ndani.
Hii imetokea kwenye nyumba ya jirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachokifanya hao wezi/majambazi ni kuruka ukuta kisha wakisha zama wanafungulia maji kutoka kwenye bomba, sasa ukistuka usingizini na kukuta maji yanamwagika ndipo utakapochukua maamuzi ya kufungua mlango na kwenda kufunga bomba, hapo ndipo mtakapoingia wote ndani.
#JAMBO LA KIZINGATIA.
Hakikisheni kwa umakini kabisa kwamba bomba la maji limefungwa, na pindi utakoposikia usiku maji yanamwagika ni bora ukaacha kabisa kutoka nje kwenda kufunga bomba, maaana uwamuzi utakao chukua kwenda kufunga bomba hapo mtaongozana na wazee wa kazi kuingia ndani.
Hii imetokea kwenye nyumba ya jirani
Sent using Jamii Forums mobile app