Acha woga ndugu!Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu๐๐
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19
Wewe kariri data za Uchumi mdogo wa Kati ๐๐๐Nakushauri Hadi wewe hapo,kuwa wakili hakukupi akili Wala busara ni kukariri tuu vifungu so msijipe umuhimu ambao hamna.
Hivi ukishakuwa president wa TLS basi we unahodhi sheria zote?Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu๐๐
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19
Sheria ni zile zile kwamba Rais ndio mwenye uamzi wa Kila kitu na ndio anatoa dira.Hivi ukishakuwa president wa TLS basi we unahodhi sheria zote?
Pascal atakubali kupelekeshwa na Mwabukusi? ๐๐Wewe kariri data za Uchumi mdogo wa Kati ๐๐๐
Mambo ya akina Pascal Mayalla waachie wenyewe ๐๐๐ฅ
Huyu anaonekana ana utulivu wa akili na hana mihemko.We are duty bound to make TLS a success story. Let's level up legal practiceโ
VOTE FOR SWEETBERT NKUBAโ
VOTE FOR SWEETBERT NKUBA
VOTE FOR SWEETBERT NKUBAView attachment 3055867
Makada hawa wanao toa matamshi ya hovyo, track record mbovu?Ndio Kwa sababu makada wa ccm wamekuwa wakiongoza hiyo taasisi sio mara Moja.
Sasa huyo wa kutukana Kila mtu ndio watapata faida gani?
Ushindi ni wake . Wengi wana imani na yeyeHuyu anaonekana ana utulivu wa akili na hana mihemko.
Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu๐๐
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19
Ushindi ni wake . Wengi wana imani na yeye
Hakuna na hana jipya wameshapita hapo kina Lisu,Shangazi F na wengine so hakuna ishu spesho saaana.Hata kama hatashinda tayari atakuwa amewaamsha usingizini ..... Ila wasipomchagua nitaamini yale maneno ya Mzee JOMO Kenyeta. Kama Wanasheria wanashindwa kuikabili serikali ni nani atakayeweza!!?
Mwabukusi hafai kuongoza chama cha kitaaluma, period.Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu๐๐
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19
Umeamua kumsagia sumu!Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu๐๐
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1817480317936013473?t=ckoQk19UwTtdh-WlHQJCbQ&s=19
Jambo Afande . Heshima kwako kiongozi . Kidumu chama TawalaWanajeshi wote ni Makada wa Chama .... Halafu wamekula Kiapo. Litakuwa ni kosa kubwa sana la KIUFUNDI.
Anajisagia mwenyewe kwani wewe Huwa humsikilizi anavyoongea? Mtu ambae mshauri wake ni Mdude nyagali unategemea nini hapo? ๐๐Umeamua kumsagia sumu!
Tanzania ina vijana wengi wenye uelewa wa mambo kwa upana zaidi. Wana uwezo mkubwa na hii nafasi ya uraisi wa TLS inahitaji kijana mwenye kuleta mabadiliko. Huyu mzee wamuweke pembeni bado sana kwa hii nafasi. Tutegemee jazbaHakuna na hana jipya wameshapita hapo kina Lisu,Shangazi F na wengine so hakuna ishu spesho saaana.
Swala la msingi ni kwamba Kwa hulka za ubishi ,kufoka kutumia Nguvu na siasa uchwara plus uanaharakati wa Mwabukusi sio Afya Kwa hao Mawakili ila wao wakiona inafaa wamchague.